Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Huo siyo ushahidi tosha. Documents na majina hayana uthibisho kwamba yameandikwa na PCCB, wala hamna ushahidi kwamba hayo majina hayakuwepo kwenye written interviewees' list na hayakutokea kwenye kwenye oral interviewees' list ya PCCB.

Jipange utoe maelezo ya kina kutetea tuhuma zako
Eti huyu naye anajinadi kuwa anachangia hoja ya msingi.
Mwenzio alichokileta hapo ndicho kilichopo.
Kwa umakini nimeangalia kwenye list ya majina tuloitwa Written interview ya Maafisa Uchunguzi, jamaa mmojawapo hapo hayupo, lakini ameitwa kwenda kwenye Oral interview. PDF zote ninazo.
 
Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mtoto wa Pinda hana vigezo vya kupewa ajira?

Mbona mnalalamika ubaguzi wakati acy wabaguzi ni nyie?
 
Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na miaka 40+ sina nguvu tena ya kupambana na SAILI.
 
Yaan natamani nikwambie ila basi tu, hao TISS mishahara yao ni midogo mno. Tofauti ya TISS na POLISI ni ndogo sana yaan ni ndogo saaaaaaaana.

Huo mshahara uliotaja wewe ni mkubwa sana. Hiyo 2.2 igawanye mara mbili ndio mshahara wao mzee.
sio kweli mkuu
 
sio kweli mkuu
Amini kwamba. Ninachokuambia ni kweli kabisa, naona kila siku. Sio nabahatisha, najua. Labda uwe kitengo cha ulinzi wa viongozi, nako ni posho ndio hukubeba na sio mshahara. Au labda uwe kwenye operesheni maalumu kama ile ya kibiti niliona kidogo kwa siku wanapata pesa kama 50k-100k kwa siku. Hapa mtandaoni mnadanganyana mno. Mishahara ya hao jamaa ni ufanano na idara zingine za ulinzi.
 
Back
Top Bottom