Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

So aliambiwa na yule Mzee atoe around 4 million ili aweze kupatiwa nafasi,
Mkuu, binafsi sijui kama kweli mchezo mchafu umefanyika. Ila kwa kuangalia dogo mmoja ambaye anafanya internship ofisini kwetu aliomba nafasi ya afisa uchungu akafanya mtihani wa mchujo na amepita. Huyu dogo namjua hana connection na hana huo uwezo wa kuhonga. But at least amefanikiwa kupenya huo mchujo. Hata hapa job dogo ana discipline ya kazi na ana uwezo mzuri kichwani.
Binafsi nilikuwa ninauhakika dogo atapenya, na kweli amefanikiwa. Kwa kweli kwa hili binafsi nitawatetea TAKUKURU maana nimeona mtu ambaye ninamjua amevuka hatua hii bila kushikwa mkono.
Ninaamini hata hatua inayofuata atapenya pia bila kubebwa
 
Mkuu, binafsi sijui kama kweli mchezo mchafu umefanyika. Ila kwa kuangalia dogo mmoja ambaye anafanya internship ofisini kwetu aliomba nafasi ya afisa uchungu akafanya mtihani wa mchujo na amepita. Huyu dogo namjua hana connection na hana huo uwezo wa kuhonga. But at least amefanikiwa kupenya huo mchujo. Hata hapa job dogo ana discipline ya kazi na ana uwezo mzuri kichwani.
Binafsi nilikuwa ninauhakika dogo atapenya, na kweli amefanikiwa. Kwa kweli kwa hili binafsi nitawatetea TAKUKURU maana nimeona mtu ambaye ninamjua amevuka hatua hii bila kushikwa mkono.
Ninaamini hata hatua inayofuata atapenya pia bila kubebwa
takukuru kuna watu wao ukiona mtu ana connection amepenya basi jua uyo ni geresha anaenda kuondolewa kwenye iyo oral
 
takukuru kuna watu wao ukiona mtu ana connection amepenya basi jua uyo ni geresha anaenda kuondolewa kwenye iyo oral
Namuombea huyu intern wetu apite. Dogo yuko vizuri sana. Kama atakosa nafasi kwa hila, basi kweli ni kwamba kama nchi tutakuwa tumeamua kukumbatia uovu hata kwa taasisi ambayo inatakiwa iwe ndiyo kinara wa kupambana na uovu
 
Huo siyo ushahidi tosha. Documents na majina hayana uthibisho kwamba yameandikwa na PCCB, wala hamna ushahidi kwamba hayo majina hayakuwepo kwenye written interviewees' list na hayakutokea kwenye kwenye oral interviewees' list ya PCCB.

Jipange utoe maelezo ya kina kutetea tuhuma zako
Elimu yako haijakusaidia.
 
Nina rafiki yangu ana diploma yupo TPB ( sasa TCB) analipwa zaidi ya hiyo laki 6. Kwakua hajanitajia mshahara exact labda nikikutajia kiwango anachoweza kukopa utapata picha.

Anaweza kukopa Milioni 21.

Hapo inakuaje?
Huyo rafiki yako hayuko PCCB hapa tunazungumzia PCCB. kuhusu mkopo hata sijua criteria wanazoangalia huko benki, tangu niajiriwe sijawahi kukopa ba sitokaa nikope benki.
 
Mkuu, binafsi sijui kama kweli mchezo mchafu umefanyika. Ila kwa kuangalia dogo mmoja ambaye anafanya internship ofisini kwetu aliomba nafasi ya afisa uchungu akafanya mtihani wa mchujo na amepita. Huyu dogo namjua hana connection na hana huo uwezo wa kuhonga. But at least amefanikiwa kupenya huo mchujo. Hata hapa job dogo ana discipline ya kazi na ana uwezo mzuri kichwani.
Binafsi nilikuwa ninauhakika dogo atapenya, na kweli amefanikiwa. Kwa kweli kwa hili binafsi nitawatetea TAKUKURU maana nimeona mtu ambaye ninamjua amevuka hatua hii bila kushikwa mkono.
Ninaamini hata hatua inayofuata atapenya pia bila kubebwa
Takukuru wamekuja kujitetea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mchakato wa kuwapata wachunguzi wanaoenda kupambana na rushwa wanapata kazi kwa rushwa

Rushwa haitokwisha, mkuu nenda kajiajiri tu mapori yapo ya kutosha
 
Huyo rafiki yako hayuko PCCB hapa tunazungumzia PCCB. kuhusu mkopo hata sijua criteria wanazoangalia huko benki, tangu niajiriwe sijawahi kukopa ba sitokaa nikope benki.
PCCB si autonomous au?
 
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.

Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points?

Tuachane na lile swala la baadhi ya majina kujirudia zaidi ya mara moja, hivi, how can we measure the transparency of the process?

Wametumia muda mwingi kuandaa haya majina, ila bado wamechemka pakubwa, maana mpangilio sio mzuri na unamakosa kibao.

Jumanne ya tarehe 04/01/2022 kuna dogo aliniombaga ushauri juu ya hizi application. Kilichokuwa kinamsumbua ni kwamba kuna mzee alimwambia mpaka kufikia ile siku (jumanne), nafasi zilizokuwa zimebaki wazi for everyone zilikuwa 10 out of 200 ( upande wa afisa uchunguzi).

So aliambiwa na yule Mzee atoe around 4 million ili aweze kupatiwa nafasi, na alikuwa guaranteed kupata as long as jina lake lilikuwepo kwenye list ya walioitwa kufanya mtihani hata kama hatoenda Dom kwenye pepa ya mchujo. Me nilichomshauri ni kwamba asitoe hiyo hela, aende tu kufanya mtihani wa mchujo.

Ila am sure now atakuwa anajilaumu kuniskiliza, maana ile hela uwezo wa kulipa alikuwa nao. Even kwa upande wangu baada ya kuona namna results zilivyorudi, napata hisia kuna possibility yule Mzee alikuwa anajua anachokiongea, something is smelling fishy here.

Anyway, kuna 3 questions ninazo:

1. Nasikia kwenye paper waliandika number, why takukuru wametumia nguvu kubwa kuconvert numbers into majina, wakati ilikuwa simple kurudisha results kwa number?

2. Cut-off point ilikuwa ngapi na ufaulu ulikuwaje?

3. Why hawaja-display attained marks za participants wote?
Kama imeshindikana basi, tafuta opportunity nyingine, maana hapa halitapatikana jibu, labda nenda makao makuu ya ofisi zao kateme cheche kule.
 
Namuombea huyu intern wetu apite. Dogo yuko vizuri sana. Kama atakosa nafasi kwa hila, basi kweli ni kwamba kama nchi tutakuwa tumeamua kukumbatia uovu hata kwa taasisi ambayo inatakiwa iwe ndiyo kinara wa kupambana na uovu
Mkuu, kuna wazuri wengi pengine zaidi ya huyo ulonaye karibu. Ni mazingira magumu wanapitia yanayowanyima fursa ya kuajiriwa kwa kufuata taratibu na misingi tulojiwekea. Uovu unaozungumzia hapa upo, yes upo, tena kwenye hizi hizi taasisi ambazo pengine tunaziamini hazina makando kando. Nchi hii inahitaji uponyaji kwenye mambo mengi sana.
 
Sasa wewe unaomba kazi kuzuia Rushwa Ubataka uhonge uipate itazuia nini?? Malalamiko kweli yapo na hayo ni kawaida kutokana na uhaba wa kazi...La Msingi tupange mkakati tupambane kuondoa hili janga...
 
Tanzania bila kutoa chochote hutoboi hata kama una Elimu kubwa kiasi gani!

Niliwahi fanya usaiili wa Operations officer enzi hizo inaitwa PSSF! Jamaa yangu mmoja nimesoma nae kabisa,na form six alikua na three ya mwishoni huko,chuo alikua na upper second kama sijakosea! Tumeenda kwenye usaili,Baba yake alisimamia show yote,akalamba kazi! Kwa hiyo kwa hapa Tanzania,kama huna mtu endelea kufuga kuku!

Ridhiwan Kikwete sasa hivi anazidi kula mema ya Nchi,sababu mshua wake yupo!
Mi nashangaa wanalalamika,kama huna connection ukae tu kwa kutulia.achana na ajira za serikali,vibarua tu huku viwanda vya mshahara wa laki mbili kwa mwezi bila mchongo hupati kazi
 
inasktsha sna hawapo list ya written (officers) but wapo kwnye oral

20220215_213805.jpg
 
Back
Top Bottom