Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inauma sana bora wewe hukuapply tuSikuomba hizi posts ila roho inaniuma jinsi watu wanavyolalamika
Jirani yangu alisomea udaktari.Bado namkumbuka rais wa muda wote wa maisha yangu.
John Pombe Magufuli. Mungu akulaze peponi Mzee wangu.
telegram 😋😋😋 kule wanakotoa huduma zote.Nakumbuka kuna dada nilikuwa nachat naye telegram siku moja kabla ya usaili aliniambia vitu kama hivi
Alisema yeye ameapply na ameitwa kwenye aptitude test ila hawezi kuja kwa sababu kuna mtoto mmoja wa kigogo fulani (yeye anamjua) tayari ana nafasi yake licha ya kutofika kwenye usaili so hawezi Kupoteza nauli kwakuwa ameshaona kuna viashiria vya kuwepo kwa majina yaliyoandaliwa kabla ya usaili
Same to me. Kuna ambaye niliwasiliana nae na alinitumia hadi screenshot ya msg za kigogo anaewapigania watoto wawili. Niliumia sana, basi tu ndio vile utafanyaje. Yaani sisi tulienda Dom kufanya Aptitude test halafu wengine wamekaa makwao wanaperuzi kwenye pages za umbea Instagram na mwisho wa siku wana nafasi za kazi tayari.Nakumbuka kuna dada nilikuwa nachat naye telegram siku moja kabla ya usaili aliniambia vitu kama hivi
Alisema yeye ameapply na ameitwa kwenye aptitude test ila hawezi kuja kwa sababu kuna mtoto mmoja wa kigogo fulani (yeye anamjua) tayari ana nafasi yake licha ya kutofika kwenye usaili so hawezi Kupoteza nauli kwakuwa ameshaona kuna viashiria vya kuwepo kwa majina yaliyoandaliwa kabla ya usaili
Hakuna mtoto wa tajiri akaenda kuwa afisa wa TAKUKURU mzee. Wote hao 20000+ wametumia gharama, ni ile hali ya ulalamikaji wa waTZ hakuna jema hapo, bora hata TISS hawatangazi nafasi maana ni kero sana. Anyway mliataka wafanye nn msilalamike?? UTUMISHI wanatoa kwa mfumo huo mnaoutaka hapa lkn kila siku nyuzi za kuwasema hawako fair haziishi.CARDLESS tumia busara,sio suala la wote kuitwa,inachotakiwa ni HAKI,si sawa watoto wa maskini watumie gharama kusafiri kutoka makwao mpaka Dodoma,gharama za malazi na chakula halafu nafasi wapewe watoto wa wakubwa ambao hata kuhudhuria Usaili hawakuhudhuria,hii si sawa. Chombo kama TAKUKURU kikiwa KICHAFU wakati kipo Kisheria kupambana na mambo MACHAFU ni aibu
Hawa ndio wale walikuwa zao home wamelala nyie mnapanda mabasi kwenda Dom na nina kuhakikishia hawa utaona wanapita kwenye interview fresh.Ndio Tanzania hiyo my friendPccb jitokezeni mfafanue na hili ,inakuwaje mtu jina halikutokea kwenye written interview lakini kwenye oral interview limetokea View attachment 2120087View attachment 2120088
Hawa ambao wazee wao wamewaingiza huko wanatoka wapi?Hakuna mtoto wa tajiri akaenda kuwa afisa wa TAKUKURU mzee. Wote hao 20000+ wametumia gharama, ni ile hali ya ulalamikaji wa waTZ hakuna jema hapo, bora hata TISS hawatangazi nafasi maana ni kero sana. Anyway mliataka wafanye nn msilalamike?? UTUMISHI wanatoa kwa mfumo huo mnaoutaka hapa lkn kila siku nyuzi za kuwasema hawako fair haziishi.