Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Mkuu sijaelewa hapo ilikuaje hadi kutangaza kufuta?
 
Yes, kama ni mshahara ule ghafi ukiweka makato, PSSF, NHIF, PAYE mshahara utaobakia mkononi utacheza hapo hapo. Sijui nani anadanganya kuwa hawa watu wanalipwa vizuri. Nina watu wapo huko PCCB ni njaa kali tu. Mkifika kazini ndio mtaaona.
Bongo nyosooo ngoja niendelee kufanya kazi kwa wahindi tu
 
Mh mkuu kama una ushahidi wa ilo la rushwa ya 4 M kwann msi file case ili mchakato urudiwe
 
Salary ya investigation officer ni how much?
 
-hao makanjanja tu, na ndiyo maana Takukuru wanashindwa kesi nyingi Sana kutokana hawaajiri kwa merits,
 
mzee kuteleza sio kuanguka, kuna watu waliyumba na baadae wakakaza wakatoboa fresh tu. nimeona watu ambao hawakuwa na ufaulu mzuri sekondari lakini chuo wakatoka na gpa nzuri tu na kuna watu walifaulu vizuri sana sekondari afu chuo wakatoka deki. Vitu hubadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…