Matokeo ya mechi ya Yanga na Ihefu, yalikuwa yamepangwa?

Matokeo ya mechi ya Yanga na Ihefu, yalikuwa yamepangwa?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nashauri uchunguzi ufanyike kuhusu hii mechi kwani staki kuamini kuwa iliocheza ndio Yanga hii ya sasa. Timu kubwa kufungwa na timu ndogo, sio jambo la ajabu kwani mpira ni mchezo wa makosa na hivyo mkubwa ukifanya kosa, basi unaweza adhibiwa na ukapoteza mchezo.

Kwa mechi ya leo, ukiacha upangaji wa kikosi na uchezaji wa mchezaji mmoj mmoja wa Yanga, makosa yaliyotugharimu ni ya kibinadamu au kuna something else? Pia, Yanga hii ndio ya kupoteza pasi kama tulivyoona leo hii/

Mimi sio mtalaamu wa mpira, ila leo kuna kitu nadhani hakikuwa sawa hasa kutokana na namna wachezaji wa Yanga walivyocheza kwani hata kujituma kwao kwa leo sio, kama ule wa siku zote.

Hata hivyo, inawezekana pia Yanga kuanzia Kocha Mkuu mpaka wachezaji, walidharau hii mechi na matokeo yake wakapoteza, ila hii itakuwa na faida kwa mechi zijazo kwani watakuwa wamejifunza kutokudharau timu yoyote.
 
Simba alikufa mbele ya timu ndogo kabisa Afrika Jwaneng iliyoanzishwa miaka ya 2000.

Sasa utashangaa Yanga kwa Ihefu!?
Bado naona kuna kitu kinaendelea, ila kitajulikana tu iwapo kuna jambo haliko sawa.
 
HIi mechi ina harufu ya upangaji wa matokeo kutoka kwa wafadhili spotpesa, kuna namna muhindi Abbas Tarimba kaucheza huu mchezo.
Nahisi iko sababu na sio hivi hivi tu.
 
Unasoma nini hapo kifuani? Sasa wewe unataka tu ule bila kuliwa?
Lazima uliwe kidogo ili nawe uweze kula.
Hapo ni returns kwa wafadhili
Screenshot_20231005-053057.png

Zamu ya simba itafika na vilio vitakuwa hivihivi
Screenshot_20231005-053014.png
 
Yanga ya mwaka huu ni mbovu tusidanganyane. Ni kwa vile tu mechi za mwanzo ilicheza na timu dhaifu zilizonusurika kushuka daraja mwaka jana (KMC) na nyingine ndiyo zilikuwa zimepanda daraja mwaka huu (JKT Tz) huku kimataifa ikicheza na timu dhaifu za wakimbizi wa kivita kutoka Djibouti na Sudan.
 
Nashauri uchunguzi ufanyike kuhusu hii mechi kwani staki kuamini kuwa iliocheza ndio Yanga hii ya sasa. Timu kubwa kufungwa na timu ndogo, sio jambo la ajabu kwani mpira ni mchezo wa makosa na hivyo mkubwa ukifanya kosa, basi unaweza adhibiwa na ukapoteza mchezo.

Kwa mechi ya leo, ukiacha upangaji wa kikosi na uchezaji wa mchezaji mmoj mmoja wa Yanga, makosa yaliyotugharimu ni ya kibinadamu au kuna something else? Pia, Yanga hii ndio ya kupteza pasi kama tulivyoona leo hii/

Mimi sio mtalaamu wa mpira, ila leo kuna kitu nadhani hakikuwa sawa hasa kutokana na namna wachezaji wa Yanga walivyocheza kwani hata kujituma kwao kwa leo sio, kama ule wa siku zote.

Hata hivyo, inawezekana pia Yanga kuanzia Kocha Mkuu mpaka wachezaji, walidharau hii mechi na matokeo yake wakapoteza, ila hii itakuwa na faida kwa mechi zijazo kwani watakuwa wamejifunza kutokudharau timu yoyote.
Maajabu ni kufikiri unashabikia team isiyofungwa kiufupi ni Aliens
 
Nashauri uchunguzi ufanyike kuhusu hii mechi kwani staki kuamini kuwa iliocheza ndio Yanga hii ya sasa. Timu kubwa kufungwa na timu ndogo, sio jambo la ajabu kwani mpira ni mchezo wa makosa na hivyo mkubwa ukifanya kosa, basi unaweza adhibiwa na ukapoteza mchezo.

Kwa mechi ya leo, ukiacha upangaji wa kikosi na uchezaji wa mchezaji mmoj mmoja wa Yanga, makosa yaliyotugharimu ni ya kibinadamu au kuna something else? Pia, Yanga hii ndio ya kupteza pasi kama tulivyoona leo hii/

Mimi sio mtalaamu wa mpira, ila leo kuna kitu nadhani hakikuwa sawa hasa kutokana na namna wachezaji wa Yanga walivyocheza kwani hata kujituma kwao kwa leo sio, kama ule wa siku zote.

Hata hivyo, inawezekana pia Yanga kuanzia Kocha Mkuu mpaka wachezaji, walidharau hii mechi na matokeo yake wakapoteza, ila hii itakuwa na faida kwa mechi zijazo kwani watakuwa wamejifunza kutokudharau timu yoyote.
Diarra amedaka kama anadaka kumbikumbi ulitegemea nini
 
Kocha Garmond anahusika pakubwa sana na matokeo ya jana. Naongea nikiwa kama kocha wa mpira wa miguu.
 
Nashauri uchunguzi ufanyike kuhusu hii mechi kwani staki kuamini kuwa iliocheza ndio Yanga hii ya sasa. Timu kubwa kufungwa na timu ndogo, sio jambo la ajabu kwani mpira ni mchezo wa makosa na hivyo mkubwa ukifanya kosa, basi unaweza adhibiwa na ukapoteza mchezo.

Kwa mechi ya leo, ukiacha upangaji wa kikosi na uchezaji wa mchezaji mmoj mmoja wa Yanga, makosa yaliyotugharimu ni ya kibinadamu au kuna something else? Pia, Yanga hii ndio ya kupoteza pasi kama tulivyoona leo hii/

Mimi sio mtalaamu wa mpira, ila leo kuna kitu nadhani hakikuwa sawa hasa kutokana na namna wachezaji wa Yanga walivyocheza kwani hata kujituma kwao kwa leo sio, kama ule wa siku zote.

Hata hivyo, inawezekana pia Yanga kuanzia Kocha Mkuu mpaka wachezaji, walidharau hii mechi na matokeo yake wakapoteza, ila hii itakuwa na faida kwa mechi zijazo kwani watakuwa wamejifunza kutokudharau timu yoyote.
basi tufanye hivi ihefu wamempa gamond gunia la mchele ili utopolo wafungwe
 
Back
Top Bottom