peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Sensa ya wayu na makazi ya mwaka 2012 Tanzania ilikuwa na watu 44 milioni ambapo sensa ya mwaka 2022 watanzania wamehesabiwa na kupatikana watu 62 milion.
Kwa hesabu hii, inaonyesha 62m ~ 44m = 18m
18,000,000/miaka 10 = 1,800,000
Kwa mantiki hii kila mwaka kuanzia mwaka 2012 hadi 2022 wanazaliwa watanzania 1,800,000 pamoja na kuwepo kwa janga la covid -19 na matatizo mengine ya kimaisha.
Tujadili idadi hii ya ongezeko la watu kila mwaka kama ni ndogo au ni kubwa kwa mwaka.
Kwa hesabu hii, inaonyesha 62m ~ 44m = 18m
18,000,000/miaka 10 = 1,800,000
Kwa mantiki hii kila mwaka kuanzia mwaka 2012 hadi 2022 wanazaliwa watanzania 1,800,000 pamoja na kuwepo kwa janga la covid -19 na matatizo mengine ya kimaisha.
Tujadili idadi hii ya ongezeko la watu kila mwaka kama ni ndogo au ni kubwa kwa mwaka.