Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Nilikua uwanjani leo jioni tunapiga story na washikaji kuna jamaa ametabiri matokeo kama haya uliyoyawekaKesho Coastal Union anahitaji kushinda ili aepuke kucheza playoff. Simba nahitaji sana mshambuliaji wake Ntibazonkiza awe mfungaji bora wa ligi. Basi matokeo ya kesho Coastal anashinda lakini Ntibazonkiza anafunga si chini ya goli mbili. Kwa hiyo matokeo ya kesho Coastal anashinda 3-2.
Ndo huyu huyu atakuwaNilikua uwanjani leo jioni tunapiga story na washikaji kuna jamaa ametabiri matokeo kama haya uliyoyaweka
Walau goli moja la Ntibazonkiza litakuwa la penati.Nilikua uwanjani leo jioni tunapiga story na washikaji kuna jamaa ametabiri matokeo kama haya uliyoyaweka
Mbona hili liko wazi. Najua hata wewe unayafahamu matokeo.Ndo huyu huyu atakuwa
wamepanga coastal atashinda 4-3 na hizo tatu atafunga ntibantuganyaKesho Coastal Union anahitaji kushinda ili aepuke kucheza playoff. Simba anahitaji sana mshambuliaji wake Ntibazonkiza awe mfungaji bora wa ligi.
Basi matokeo ya kesho Coastal anashinda lakini Ntibazonkiza anafunga si chini ya goli mbili. Kwa hiyo matokeo ya kesho Coastal anashinda 3-2.