Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo wanakabidhiwa kombe.Hahahaahaaaa Yanga mdebwee hio kesho watalia sanq
Coastal ni simba B! Hivyo watafungwa tu goli nyingi, na Saido Ntibazonkiza, na uzee wake atafunga magoli yasiyopungua 3, na hivyo kuwa mfungaji bora.Kesho Coastal Union anahitaji kushinda ili aepuke kucheza playoff. Simba anahitaji sana mshambuliaji wake Ntibazonkiza awe mfungaji bora wa ligi.
Basi matokeo ya kesho Coastal anashinda lakini Ntibazonkiza anafunga si chini ya goli mbili. Kwa hiyo matokeo ya kesho Coastal anashinda 3-2.
Na kuongeza kuwa Coastal ni "timu yake." Huku akichekeleaMgunda ashaongea kwamba Ntib lazima atupie
Tukipata kiatu inatosha lengo mayele asiwemfungaji bora kwa maana huwezi kuchukua kombe kila siku hata nyinyi mlikaa miaka 4 bila kombe leo Saidoo atashinda goli tatu na mechi itaisha Simba tutafungwa 4 kwa 3 😁 😁 😁Coastal ni simba B! Hivyo watafungwa tu goli nyingi, na Saido Ntibazonkiza, na uzee wake atafunga magoli yasiyopungua 3, na hivyo kuwa mfungaji bora.
Baada ya hapo, mashabiki wa simba (wale mbumbumbu wa Rage), wataingia barabarani na humu jukwaani kushangilia ufungaji bora wa huyo Ntibazonkiza! Kisa tu Mayele atakuwa amekosa! Na hivyo itakuwa ni faraja kubwa kwao.
Soka tuweke pembeni masuala ya SOKA, tulipumbazwa tukasahau maslahi ya TANGANYIKA yetu.Coastal ni simba B! Hivyo watafungwa tu goli nyingi, na Saido Ntibazonkiza, na uzee wake atafunga magoli yasiyopungua 3, na hivyo kuwa mfungaji bora.
Baada ya hapo, mashabiki wa simba (wale mbumbumbu wa Rage), wataingia barabarani na humu jukwaani kushangilia ufungaji bora wa huyo Ntibazonkiza! Kisa tu Mayele atakuwa amekosa! Na hivyo itakuwa ni faraja kubwa kwao.