Matokeo ya Simba na Coastal Union kesho Juni 9, 2023

Matokeo ya Simba na Coastal Union kesho Juni 9, 2023

Hizi propaganda za utopolo humu ni kukubali kushindwa mapema ili baadae waje walete visingizio tuliwaambiaa...by the way hata ingekua mm ni mchezaji wa Simba ningehakikisha nampa mipira yote Ntiba..
 
MO aondoke atuachie timu yetu, hasipoondoka tunasusia bidhaa zake tunahamia kwenye bidhaa za Azam
 
Kesho Coastal Union anahitaji kushinda ili aepuke kucheza playoff. Simba anahitaji sana mshambuliaji wake Ntibazonkiza awe mfungaji bora wa ligi.

Basi matokeo ya kesho Coastal anashinda lakini Ntibazonkiza anafunga si chini ya goli mbili. Kwa hiyo matokeo ya kesho Coastal anashinda 3-2.
Coastal ni simba B! Hivyo watafungwa tu goli nyingi, na Saido Ntibazonkiza, na uzee wake atafunga magoli yasiyopungua 3, na hivyo kuwa mfungaji bora.

Baada ya hapo, mashabiki wa simba (wale mbumbumbu wa Rage), wataingia barabarani na humu jukwaani kushangilia ufungaji bora wa huyo Ntibazonkiza! Kisa tu Mayele atakuwa amekosa! Na hivyo itakuwa ni faraja kubwa kwao.
 
Coastal ni simba B! Hivyo watafungwa tu goli nyingi, na Saido Ntibazonkiza, na uzee wake atafunga magoli yasiyopungua 3, na hivyo kuwa mfungaji bora.

Baada ya hapo, mashabiki wa simba (wale mbumbumbu wa Rage), wataingia barabarani na humu jukwaani kushangilia ufungaji bora wa huyo Ntibazonkiza! Kisa tu Mayele atakuwa amekosa! Na hivyo itakuwa ni faraja kubwa kwao.
Tukipata kiatu inatosha lengo mayele asiwemfungaji bora kwa maana huwezi kuchukua kombe kila siku hata nyinyi mlikaa miaka 4 bila kombe leo Saidoo atashinda goli tatu na mechi itaisha Simba tutafungwa 4 kwa 3 😁 😁 😁
 
Saido katupia mbili...na Mayele moja, ngoma droo
 
Coastal ni simba B! Hivyo watafungwa tu goli nyingi, na Saido Ntibazonkiza, na uzee wake atafunga magoli yasiyopungua 3, na hivyo kuwa mfungaji bora.

Baada ya hapo, mashabiki wa simba (wale mbumbumbu wa Rage), wataingia barabarani na humu jukwaani kushangilia ufungaji bora wa huyo Ntibazonkiza! Kisa tu Mayele atakuwa amekosa! Na hivyo itakuwa ni faraja kubwa kwao.
Soka tuweke pembeni masuala ya SOKA, tulipumbazwa tukasahau maslahi ya TANGANYIKA yetu.

Waliopewa mamlaka ya kiutawala wanataka kuziuza Bandari zetu kwa mkataba wa milele!
 
Back
Top Bottom