Matokeo ya Stars Kocha katuchomesha

Matokeo ya Stars Kocha katuchomesha

Kwa forward ile ambayo kila aliyekuwa akipata mpira anaangalia chini na kuanza kukimbia na mpira bila kuangalia wenzake, tusingepata ushindi hata tungeendelea kucheza mpaka asubuhi hii.

Mechi zote mbili tulicheza kwa kukamia ila bila mbinu ya maana ya ushindi. Pia ingetusaidia zaidi kuwapunguzia pressure wachezaji kwa kuicheza mechi kule kule Misri.
Eeeeh hili tatizo ni kweli nililiona. Kila mchezaji akipata mpira anakimbia nao hadi anapokonywa.
 
Kosa kubwa nilile lakuwaita Kapombe na Tshabalala.
 
Washabiki wa utopolo ni nuksi katika taifa hili maana hawana akili
FB_IMG_1679892181997.jpg
 
Mechi ya mwisho Stars wanacheza na Niger taifa na Uganda wanacheza na Algeria points tumelingana what if tukamfunga Niger na Uganda akapigwa na Algeria?
 
Mimi binafsi siamini kocha mgeni kufundisha national team yaani siamini hata kidogo bongo siasa nyingi sana.
 
Angalau Mgunda pep mnene na yule jamaa wa Kagera sugar wangepewa hii timu maana mzee mpili alitukatalia Nabbi wake akasema twende Google. Google yenyewe ndo kama mnavyoona. Haijatusaidia.
 
Back
Top Bottom