Matokeo ya mitihani kwa supplementary ya Dar es salaam istitute of technology yametoka jana tarehe 17, kwa idara zote matokeo yamekua mabaya sana maana kwa diploma wengi wanarudia mwaka "retake" na discontinued.
Wale wa shahada ya uhandisi wengi wamecarry na discontinued nyingi pia. Mfano diploma ya computer engineering first year, pass ni 60, retake 8, abscond 16, disco 18 hapo walianza pamoja ni 102. Information technology pass 26, retake 3, abscond 20, disco 14, kutoka 63.
Karibuni kwa maoni
Wale wa shahada ya uhandisi wengi wamecarry na discontinued nyingi pia. Mfano diploma ya computer engineering first year, pass ni 60, retake 8, abscond 16, disco 18 hapo walianza pamoja ni 102. Information technology pass 26, retake 3, abscond 20, disco 14, kutoka 63.
Karibuni kwa maoni