Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara

Huu ni ufalme na umwinyi tuukate na kuhakikisha CCM inangashushwa, pamoja na vyama vyote vya upinzani, tunahitaji mapinduzi katika ulimwengu wa siasa.
 
Hiki kizazi kinachokuja ni tofauti na chetu mkuu.

Jamaa wanajiamini na wanauliza almost kila jambo, hawatakubali kuburuzwa.

Haya unayoyaona sasa yataishia kizazi hiki ila trust me huo ujinga hautakuwepo huko mbeleni.
wajuaji ndio hao wanaandaliwa na kujengewa msingi wa kujizatiti uongozini kwa kupewa mbinu za mapema za kuongoza, waburuzwaji kama kawaida hawana habari hata kidogo, wametulia tuli nadhani wanaandaliwa kulalamika kama wazazi wao,

Hata ivo wakati huo hawatajua hata wanalalamikia nini
 
CCM kutolewa madarakani ni kazi sana mkuu, jamaa wana mipango miaka 30 mbeleni.
Wataondoka tu hizi ni mbwembwe , na ni bahati mbaya watoto kama hawa wanaalibiwa future zao wakifikili ccm itakua pale, wenda mbele wangekuja fanya maamuzi sahii kwa chama ambacho kitakua madarakani, ni kilaza pekee anaweza kuexpose mwanao kwa umri huu kwenye siasa,

Na wanaoangaika ni wajinga wa chini huko, hivi wanafikili kikwete, Mkapa , Mwinyi senior, Mwl Nyerere hawana wajukuu?
Na kama wapo lini umewasikia wakijiusisha na ujinga wa namna hii, watoto wapo huko wanapiga vitabu, nakupata connection za dunia, kama ni Uongozi siku ikifika wataingia kwenye ulingo kupambana
CCM kutolewa madarakani ni kazi sana mkuu, jamaa wana mipango miaka 30 mbeleni.
 
CCM kuitoa bila machafuko nchini ni ngumu. Yani bila wananchi kuamua kumwaga damu ili kizaliwe chama kipya kitachofuata misingi mipya kikatiba tutaendelea kuwa hivi hivi for foreseeable future😂
Inatakiwa akili na si kumwaga dam.mbona nchi zilizoendelea wanatoana madarakani na hawamwagi dam?tunahitaji kuwa wastaarabu tu.anaetwala awe mstaarabu,vyombo vinavyosimamia Haki wawe wastaarabu basi.tatizo cc waafrika ustaarabu bado sana.ndo mana mzungu aliita bara hili DARK CONTINENT kwa SABABU ya matendo YETU,hatuna TOFAUTI NA wanyama Pori.
 
Hiki kizazi kinachokuja ni tofauti na chetu mkuu.

Jamaa wanajiamini na wanauliza almost kila jambo, hawatakubali kuburuzwa.

Haya unayoyaona sasa yataishia kizazi hiki ila trust me huo ujinga hautakuwepo huko mbeleni.
Hiviiii, vyama vingine tofauti na CCM, vinaruhusiwa kufanya haya wafanyayo CCM, kuhusiana na watoto? Jana, wamewakusanya watoto mpaka zaidi ya saa tano usiku!
Na Nchi hii, inaruhusu watoto kujihusisha na siasa?
 
Hiviiii, vyama vingine tofauti na CCM, vinaruhusiwa kufanya haya wafanyayo CCM, kuhusiana na watoto? Jana, wamewakusanya watoto mpaka zaidi ya saa tano usiku!
Na Nchi hii, inaruhusu watoto kujihusisha na siasa?
Kukaa mpaka saa tano kuna taarifa yoyote ya maafa uliisikia?
 
Umeongea point
Ugomvi wangu tu kufumbia kosa kwa kumlinda wa dini yako.
Hiyo ni mbaya. Kemea ubaya bila kubagua aliyefanya ni nani.
Kama ambavyo tunakemea mauaji ya pande zote tena ya wasio na hatia ule mgogoro kule basi tukemee hata tunaowaunga mkono wanapokosea. Wala si kujitweza bali kuonyesha ustaarabu. Kuendelea kujaribu kutetea kwa kupindisha mambo inaleta ukakasi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tayari umeshakujaa, yaan huchelewii wee.
Mzee. Khaaaah
 
Na sie tutawafunza kula kitimoto na bia
 
Upuuzi tu
 
Elimu ya dini NI yakipumbavu na kudumaza akili hii Elimu ya kijamii ndiyo muhimu mara 1000 kwa vijana wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…