Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara

Duh ndipo akili za wabongo zilipoishia,wanapambana wee kuiba mali za umma kusomesha watoto wao shule nzuri mwisho wa siku wanawarudisha nao waendeleze harakati zao za kisiasa badala ya kuwapeleka kimataifa
 
Technical ndo chama kinakufa taratibu hvo...hamna idea mpya humo
 

Mkuu ya Maulana mengi uezi jua labda 2025 hao kijani cha inzi wa choo cha shule
 
Wakati Magufuli anatumia dola kuiua CHADEMA ilikua ni kwa sababu gani kama sio chama cha upinzani makini? Huwezi kutoa hoja ya kukosekana chama cha upinzani makini wakati chama tawala kinatumia nguvu za dola kujilinda madarakani. Chama cha upinzani makini kinatakiwa kiweje kama kinashindana na chama kinacholindwa na jeshi,polisi pamoja na secret service?
 
Kwanini akifa walimu wake wa vyuo vikuu sio wanaoshughulikia? Nakusudia kuna muislam yoyote alipelekwa ktk hall la chuo kikuu kuswaliwa? Au msikitini? Kama msikitini basi umuhimu wa ilmu akhera ilivyokuwa muhimu
Elimu ya dini NI yakipumbavu na kudumaza akili hii Elimu ya kijamii ndiyo muhimu mara 1000 kwa vijana wetu
E
 
Kwanini akifa walimu wake wa vyuo vikuu sio wanaoshughulikia? Nakusudia kuna muislam yoyote alipelekwa ktk hall la chuo kikuu kuswaliwa? Au msikitini? Kama msikitini basi umuhimu wa ilmu akhera ilivyokuwa muhimu
Elimu ya dini NI yakipumbavu na kudumaza akili hii Elimu ya kijamii ndiyo muhimu mara 1000 kwa vijana wetu
 
Watoto wangu hawawezi Kufanya mambo ya Siasa ni kuuwa vipaji vyao!
Mzee wangu aliniambia kamwe nisiingie kwenye siasa za ushindani (hasa CCM) maana kwanza kutakuwa na uwezekano wa kutokuiona mbingu, pili nitaua uwezo wangu wa kufikiri kimantiki na tatu nitaua vipaji vyangu vyote ambavyo ninavyo.

Nimebaki kuwa mwanasiasa wa nchi, maana kila mwananchi ni mwanasiasa.
 
NIKOSA KUU KUINGIZA WATOTO KWENYE SIASA TENA NI KINYUME NA HAKI ...VIPI SERIKALI PUMBAVU YA CCM IMETAMBUA KUWA WATU WA UMRI WA CHINI YA MIAKA 18 WASISHIRIKI UCHAGUZI WALA KUPIGA KULA ILA INA RUHUSU SIASA KWA WATOTO WADOGO ...ILI JAMBO NI LAKIPUMBAVU HASWA NILITEGEMEA KUKEMEWA NA JAMII YOTE ILA TATIZO WATZ WENGI NI WAPUMBAVU NA VIPOFU ....TAIFA LINAKWENDA KUANGAMIA WAZI WAZI.
 
Unakosea sanaaaa, sio kila mahali pa kuleta siasa zako za dini, hapa wacha tuongelee siasa ya siasa za Bongo na CCM sio dini,
Dini tutaongelea msikitini au kwenye nyuzi za dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…