Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara

Matokeo ya uchaguzi CCM chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara

Hilo Toto la chini linaonekana Bogus na Jizi Jizi hivi.😂
 
Qayllah Nurdin Bilal, ambaye ni mtoto wa msanii wa Bongofleva, Shetta (Hutaniwa wamefanana na Kova), amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Dodoma.Qayllah amepata kura 303 kati ya kura halali 429 zilizopigwa

View attachment 2848650



Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa

View attachment 2848651
Nisamehewe kwa huko siku za nyuma kulaani vikundi vilivyoingia msituni. Nimekuja kugundua hivyo vikundi vilikuwa sahihi.
 
Qayllah Nurdin Bilal, ambaye ni mtoto wa msanii wa Bongofleva, Shetta (Hutaniwa wamefanana na Kova), amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Dodoma.Qayllah amepata kura 303 kati ya kura halali 429 zilizopigwa

View attachment 2848650



Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa

View attachment 2848651
 

Attachments

  • IMG_4810.MP4
    2.2 MB
  • 7FF9D900-B8CD-4176-91DE-6CEAEEEF645E.jpeg
    7FF9D900-B8CD-4176-91DE-6CEAEEEF645E.jpeg
    94.2 KB · Views: 3
  • 94B4C177-0567-481B-9132-CA8D60A18C14.jpeg
    94B4C177-0567-481B-9132-CA8D60A18C14.jpeg
    313.3 KB · Views: 3
  • 8DF5E06F-DA37-436B-B3AB-06DFD2A8BC7D.jpeg
    8DF5E06F-DA37-436B-B3AB-06DFD2A8BC7D.jpeg
    74.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom