Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Majimbo ya Iringa

Mchonga, asante kutujuza matokeo ya Iringa.Walioahidi kuja na data kama mupo tupen
 
Asante kwa taarifa hii inaelekea mchuano ni mkubwa siwezi kusema mshindi katika uraisi ni nani.
 
Kwanza uhakika wa kuwa na wabunge wengi wa upinzani ni mkubwa hilo halina pingamizi.
 
Tukiwa na wabunge zaidi ya nusu toka upinzani CCM watatia akili ata kama wataiba kura za Slaa to me ntakuwa nimefarijika
 
Ubunge CHADEMA wanaongoza kata 14 kati ya 16.SORCE-STAR TV
Saa ya ukombozi ni sasa
 
Tukiwa na wabunge zaidi ya nusu toka upinzani CCM watatia akili ata kama wataiba kura za Slaa to me ntakuwa nimefarijika

Siwezi kufarijika, rais is everything, huyu jamaa anateua kila mtu...no i will be disappointed.
 
wadau matokeo iringa mjini kata zote yameshatangazwa: Ccm wameshinda kata 2 na chadema wameshinda kata 14. Jimbo lina kata 16. Source: Star TV
 
Kati ya kata 16 za Iringa mjini, CHADEMA wameondoka na 14 na CCM wameokata 2; wananchi wameamua kufanya mageuzi ya kutosha -Source Star TV.
Monika vipi, presha inapanda presha inashuka. Mchungaji Peter Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
wadau matokeo iringa mjini kata zote yameshatangazwa: Ccm wameshinda kata 2 na chadema wameshinda kata 14. Jimbo lina kata 16. Source: Star TV
Wanyalukoro wameamua kusema swela na kutoa hukumu sahihi.
 
majiggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggggg
njoo hapaaa
 
Hongereni wana Iringa mmetuwakilisha ipasavyo maana wengine tupo huku mikoa ya watu
 
the truth is Iringa-Chadema kata 14, CCM 2. Njombe ccm inaongoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…