Slaa - 454, Mnyika - 473
JK - 71 , Hawa - 45
Slaa - 454, Mnyika - 473
JK - 71 , Hawa - 45
...nec wanashangaza walesema watu 20 million walijiandikisha....lakini je ni kweli nusu ya watanzania wote wana miaka 18 kwenda juu....kwa turn out ilivyo ni wazi mahesabu ya NEC Kuna kitu yameficha ambacho CCM wanaweza wakakitumia kwenye majumuisho!!
By the way jamaa aananipa taarifa za uhakika kuwa vituo vingi jimbo la ubungo wanaongoza CHADEMA upande wa ubunge na urais,....na sehemu nyyingi na madiwani pia!
Kituo namba 007490 moa kimara
Matokeo
Urais
Chadema-109
Ccm-52
Cuf-3
Spoiled-1
Ubunge-ubungo
Chadema-114
Ccm-40
Cuf-6
Up-1
Tlp-1
Spoiled-1
Diwani kata saranga(kimara)
Chadema-95
Ccm-62
Safi sana, nafikiri JK atakuwa kaanza kupata kizunguzungu sasa!! Wananchi wameamka....!!
Ili Slaa Ashinde, haya ndiyo matokeo yanayotakiwa kutoka kwenye majimbo kama 100 hivi. Without this ratio... JK anarudi madarakani ki-urahisi kabisa.