Elections 2010 Matokeo ya Uchaguzi Mkoa wa Dar-es-Salaam

Mdau kanitumia matokeo ya Makongo jeshini.

Urais
JK 326
Slaa 334

Ubunge
CCM 252
CHADEMA 361

Udiwani
CCM 314
CHADEMA 351
 
Mdau kanitumia matokeo ya Makongo jeshini.

Urais
JK 326
Slaa 334

Ubunge
CCM 252
CHADEMA 361

Udiwani
CCM 314
CHADEMA 351
Kwa nguvu ya Mungu tunashinda kwani sikutegemea kuwa hivyo kutoka kwa wajeshi wetu.
 
revolution redeeem
revolution redeeem it has been a revolution to make a solution, too much confusion........ ya
etimia.....
 
Mdau kanitumia matokeo ya Makongo jeshini.

Urais
JK 326
Slaa 334

Ubunge
CCM 252
CHADEMA 361

Udiwani
CCM 314
CHADEMA 351

I hope hizi sio kura za wajeshi! kama ni hivyo, basi kweli 'inji' hii imebadilika!
 
Vituo Sita (6) vya Utawala:

URAIS:
CHADEMA (Dr. Slaa) - 714
CCM (Kikwete) - 119

UBUNGE:
CHADEMA (Mnyika) - 730
CCM (Ngumbi) - 103
 
sitapata usingizi bila kujua Mnyika na Halima Mdee wanaendeleaje
 
jah will never give the power to the baldhead....... time will tell na kweli changes ndo hizo
 
Rahaaaaaaaaaaaaaaa utamuuuuuuuuuuuu leo mpaka niipate hiyo john mtembezi
 
Kweli kura yangu imefanya kazi HONGERENI wana JF wote tuliokuwa pale
 
Jamani tafadhali!...
Unajua kuna uongo unaokaribia ukweli kiasi kwamba hata sisi huku tulo mbali tunaweza kukubaliana nao..
Haiwezekani watu kumpigia kura diwani, mbunge kisha wasimchague rais wa chama hicho hicho hata yule diwani au mbunge mwenyewe lazima kura yake itakuwepo kumchagua rais wa chama chake. Kuna mahala nasoma kura zero sijui moja hivi kweli hatadiwani, mbunge, mwenyekiti na viongozi wa chama hicho au wasimamizi wa chama kituoni hawakukichagua chama chao?. Pia sii rahisi mtu kumchagua rais wa chama fulani akamwacha diwani na mbunge wake pamoja na kwamba yawezekana na wapo wengi wamekusudia kufanya hivyo..

Kwa hiyo nilitegemea sana kuona watu wakichagua Madiwani naWabunge wa CCM lakini kura za Urais wakimpa Dr.Slaa lakini sii rahisi mtu kumchagua diwani wa chama hiki kisha mbunge wa chama kingine na rais wachama kingine tena..
Hizo hapo hesabu juu kidogo zinanipa shida ingawaje yawezekana lakini sii kwa mbumbumbu Wadanganyika.

Ni mtazamo wangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…