Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,962
- 721
Nimesikia kuwa REDET watakuwa na Press conference pale Karatu jengo la Halmashauri hapo kesho mchana,
Ahahahaa ahahaha I'm just kidding, ninafurahi tu jinsi ukombozi unavyofanya kazi..........
Nina hamu ya kwenda kulala but naona shida kuiacha JF hapa na habari motomoto.
Ahahahaa ahahaha I'm just kidding, ninafurahi tu jinsi ukombozi unavyofanya kazi..........
Nina hamu ya kwenda kulala but naona shida kuiacha JF hapa na habari motomoto.