Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Haitakaa itokee hiyo hakuna wa kumpitisha tobolisu iwe jua Iwe mvua nakuambia haitatokea labda tu chadema wachukue majimbo 70%ya ubunge lakini kama sabini hayo yaende ccm alafu kura za rais mushinde haitakaa itokee,Awamu hii inaweza kuwashangaza watu wengi,
Mnaweza mkaona watu wanafurika kwenye mikutano ya CCM, ila hakika mtashangaa na kubaki midomo wazi pale kula zitakapo anza kuhesabiwa, na matokeo kutoka...
Kusema kweli kafanya mambo makubwa mengi...kuteka, kuuwa akina Ben Saanane, kubambikia watu makesi, kupora wafanyabiashara kupitia Bashite, kukandamiza wapinzani hasa CHADEMA nk nk haya ni mengi..sio haba.Mm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Hali ni ngumu sana mitaaniMm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Kafanya mengi halafu maisha magumu tena??Mm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Kuna mapolisi wangapi nchi nzima?Chadema au wapinzani wanaweza kuwa ns kura nyingi ila wakurugenzi watapindua meza zao wakina na ulinz wa mitutu ya binduky.
Awamu hii inaweza kuwashangaza watu wengi,
Mnaweza mkaona watu wanafurika kwenye mikutano ya CCM, ila hakika mtashangaa na kubaki midomo wazi pale kula zitakapo anza kuhesabiwa, na matokeo kutoka..
Nasema hivi, iwapo wapinzani watasimama kidete mshindi halali atangazwe, tutashuhudia machafuko na ikibidi vifo juu.
Tumia akili ndogo tu kujifikirisha kama uliyoandika yana ukweli na mtaji wa kumnyima Magufuli kura.Awamu hii inaweza kuwashangaza watu wengi,
Mnaweza mkaona watu wanafurika kwenye mikutano ya CCM, ila hakika mtashangaa na kubaki midomo wazi pale kula zitakapo anza kuhesabiwa, na matokeo kutoka...
Fanya tafiti kwa watu .Umeongea pointi kamanda,Matokeo yatawashangaza wengi kweli kweli, Wapiga kura si hawa wanaobebwa na malori kujazaviwanja, wengi wao wanaenda tu kwa sababu wanalazimika kufanya hivyo maana hawana chaguo jingine, Lakini kwenye chumba cha kupiga kura wanajua wanaenda kufanya mageuzi.
Mm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Vipi walioneemeka watamchinja nani.Na watu wengi walivyoumizwa na huu utawala wanasubiri kuichinja ccm Oct 28!
Hivi sialiwahi kusema yeye alikuwa hataki wakamsukumiza, sasa imekuwaje kanogewa na madaraka mpaka kung'ang'ania Ikulu?? Na zaidi ya yote katiba anataka kuibadilisha kabisa kwa kumtumia subwoofer atawale milele. Uroho wa madaraka mbaya sana..
Leo umeongea huku akili za kibuku saba ukiwa umeziweka pembeni. Siku zote tunataka muwe mnajadili hoja na sio kuimba mapambioMm najua Mh. Rais Magufuli kafanya makubwa mengi sanaaa na nitampigia kura tena, ila wasiwasi wangu mkubwa ni mmoja tu, ugumu wa maisha ya watu unaweza wapa kura kwa upinzani, sababu watu sasa hivi wanaelewa mambo sana sbb ya mitandao, pia wengi wana elimu ya juu na ushawishi mkubwa na kuchambua mambo, pia watumishi hali zao, hivi vyote vinaweza leta sintofahamu katika upigaji kura, hivyo CCM inahitaji tutumie kila mbinu kushinda, sbb hali kidogo ni ngumu mitaani
Hahaha comment tamu sana nimecheka nusra nipaliwe na msosiKama wajumbe wa ccm walifanya vile sisi tusio na maslahi ndani ya chama hatuwezi kufanya kinyume na walivyofanya wajumbe
ππππππ Sasa tuaipoipigia CCM tukipigie chama kipi cha siasa, Acha utaniAwamu hii inaweza kuwashangaza watu wengi,
Mnaweza mkaona watu wanafurika kwenye mikutano ya CCM, ila hakika mtashangaa na kubaki midomo wazi pale kula zitakapo anza kuhesabiwa, na matokeo kutoka..
Endele Kujitekenyaaa Halafu ucheke Mwenyewe 86% Atashinda Magu Zingine wagawie Wenye Vyama vya mashabiki na sio wanachamaAwamu hii inaweza kuwashangaza watu wengi,
Mnaweza mkaona watu wanafurika kwenye mikutano ya CCM, ila hakika mtashangaa na kubaki midomo wazi pale kula zitakapo anza kuhesabiwa, na matokeo kutoka...