Matokeo ya Uhuru kuzidi sana ni matusi na jeuri

Matokeo ya Uhuru kuzidi sana ni matusi na jeuri

Fukua

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
546
Reaction score
479
Nawasalimu kwa jina la JMT

Watanzania ni watu wa kulalamika Kila kitu. Hawana jema Wala shukrani kwa kweli.

Ninasikitishwa sana na matusi, kejeli na majina ya hovyo hovyo anayopewa AMIRI JESHI MKUU, Rais na Mama yetu mpendwa SAMIA hasa hili jina la kipuuzi kabisa HETI mama tozo mara nchi yetu imepachikwa TOZONIA hawa wapuuzi wanaudhi sana.

Nimeamini watanzania wachache hasa wajiitao upinzani wanautumia uhuru wao vibaya. Ukiacha urais mama SAMIA ni Mtanzania anayepaswa kuheshimiwa kumkejeli na kumtukana hovyo si sawa kabisa.

Mama SAMIA ni nguli na jabali la siasa Tanzania na AFRIKA nina amini kejeli matusi na Majina haya ya hovyo hayawezi kusababisha ashindwe kuwatumikia na kuwaletea maendeleo watanzania atawapuuza lkn Hoja yangu ni kwamba kwa Nini Watanzania baadhi yetu tunashindwa kuheshimiana tukipewa uhuru tunageuka watukanaji, waasi, wasioheshimu wengine.

Kumbukeni uhuru ni Bora kuliko tozo ni lazima tujitolee kuijenga Tanzania yetu.

Pia tunakupongeza sana mama HATUA ZOTE zinazohusu mchakato wa SENSAYA WATU NA MAKAZI zinaendelea vizuri sana wananchi wako tayari kuhesabiwa.
 
Si kweli, umevurumbuka! Matusi huletwa na kukosa hoja, elimu na malezi mabaya. Katu hayasababishwi na uhuru mwingi. Again, natoa mfano wa Kenya. Huko kuna mijadala mikali kabisa, lakini ni nadra mno kuona mtu amemtukana mtoa mada! Fikiri unapoandika. Yaani hata huu uhuru kiduchu tulionao Tanzania waona ni mwingi? Nakushauri, tafuta nchi ya karibu, Malawi, Zambia.....utembee, halafu ulinganishe uhuru wao!
 
Nawasalimu kwa jina la JMT
Watanzania ni watu wakulalamika Kila kitu. Hawana jema Wala shukrani kwa kweli.

Ninasikitishwa sana na matusi, kejeli na majina ya hovyo hovyo anayopewa AMIRI JESHI MKUU, Rais na Mama yetu mpendwa SAMIA hasa hili jina la kipuuzi kabisa HETI mama tozo mara nchi yetu imepachikwa TOZONIA hawa wapuuzi wanaudhi sana.

Nimeamini watanzania wachache hasa wajiitao upinzani wanautumia uhuru wao vibaya. Ukiacha urais mama SAMIA ni mtanzania anayepaswa kuheshimiwa kumkejeli na kumtukana hovyo si sawa kabisa.

Mama SAMIA ni nguli na jabali la siasa Tanzania na AFRIKA nina amini kejeli matusi na Majina haya ya hovyo hayawezi kusababisha ashindwe kuwatumikia na kuwaletea maendeleo watanzania atawapuuza lkn Hoja yangu ni kwamba kwa Nini watanzania baadhi yetu tunashindwa kuheshimiana tukipewa uhuru tunageuka watukanaji, waasi, wasioheshimu wengine.

Kumbukeni uhuru ni Bora kuliko tozo ni lazima tujitolee kuijenga Tanzania yetu.

Pia tunakupongeza sana mama HATUA ZOTE zinazohusu mchakato wa SENSAYA WATU NA MAKAZI zinaendelea vizuri sana wananchi wako tayari kuhesabiwa.
You deserve it.
 
Katika dunia hii Kama unafanya jambo fulani ukiwa na lengo la kusifiwa na watu wote kuhusu jambo hilo ni dhahiri kwamba una matatizo ya akili na sehemu ya pekee unapaswa kwenda ni Mirembe.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom