Matokeo ya usaili MDA's na LGA's yametoka

Matokeo ya usaili MDA's na LGA's yametoka

Unaweza kuacha swali na ukatoboa vizuri tu.. maswali ma4 kati ya 5 ukijibu vizuri unayoa.. wao wanasahisha na kuweka marks, hawasahihishi kwa kulazimisha ujibu yote ndio ufaulu.

Ushahidi ninao
Mimi nilijibugi 4 tu moja likanibaka..
Na kati ya hayo 4 nilikua na uhakika na mawili.. tu.. hyo mawili nilibet..


Lakini.. nakawa selected kwenye oral.. nilipata 57..
Maana yake nilipata maswali mawili na poit kadhaa kwenye yale maswali mawili
 
Mimi nilijibugi 4 tu moja likanibaka..
Na kati ya hayo 4 nilikua na uhakika na mawili.. tu.. hyo mawili nilibet..


Lakini.. nakawa selected kwenye oral.. nilipata 57..
Maana yake nilipata maswali mawili na poit kadhaa kwenye yale maswali mawili
Yaaah uko sawa,, kufaulu si lazima ujibu yote, unaweza kujibu yote Ila ukajibu pumba..
Hii Iko kotekote kwenye Written na Oral pia.. ukiweza kuyapatia maswali yako manne kati ya 5 effective amani ya moyo inakuwepo kabisa
 
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi, nilitoka kufanya oral ya TRA sikuwa na mzuka tena wa kufanya interview nyingine hata maandalizi ya kujisomea sikufanya ila nilichokuwa namuomba Mungu aniongoze nikatumie knowledge yangu. Nashukuru Mungu upande wa account officer ilikuja hivyo (nilishawahi kuwa mwalimu so lile pepa nilijibu nikiwa nakumbuka nilivyokuwa nafundisha madogo) auditing niliona pepa limenibaka ila pia niliamua kutumia knowledge yangu sikuacha hata swali moja. Mungu mwema majibu yametoka naenda Dodoma tena zote mbili. Ahsante Mungu na kwa wale ambao hamjabahatika aminini Mungu ni mwema wakati wenu waja
Hongera sana, ikawe heri huko uendako.
 
Unaweza kuacha swali na ukatoboa vizuri tu.. maswali ma4 kati ya 5 ukijibu vizuri unayoa.. wao wanasahisha na kuweka marks, hawasahihishi kwa kulazimisha ujibu yote ndio ufaulu.

Ushahidi ninao
Unachosema ni kweli ila kwa nature ya mtihani wa MGA na LGA ulivyokuwa, kujibu maswali yote na kwa usahihi kulikuwa kuna matter sana. Mtihani ulikuwa simple sana hivyo speed na kumaliza paper kulikuwa na maana pia
 
Kwa wale mliofanya usaili wa MDA na LGA Januari mwaka huu, matokeo yametoka, ili kuona ya kwako ingia katika akaunti ya ajira portal na angalia kwenye application zako utaona kama upo selected or not selected.

Baada ya hapo subiria tu pdf ya lini Oral lini itafanyika na wapi, mliofanikiwa hongereni, mliodunda endeleeni kukaza buti.

Utafutaji uendelee
Kuna walioitwa zile za NHC za Temporary? Niendelee kusubiri???
 
Wakubwa Hivii Oral ya AFISA MIFUGO - MDA & LGA ni tarehe ngapii?

Mm naona selected for oral niki view timetable sioni oral timetable, nisaidienii??
Ratiba cheki kwenye website ya utumishi mzee zimewekwa zote
 
Msaada wakuu kwenye oral interview kuhusu majina ya vyeti

Vyeti vya shule majina yanasoma ; jakaya mrisho
Cheti cha kuzaliwa na nida ID majina yanasoma ; jakaya mrisho Kikwete.
 
Msaada wakuu kwenye oral interview kuhusu majina ya vyeti

Vyeti vya shule majina yanasoma ; jakaya mrisho
Cheti cha kuzaliwa na nida ID majina yanasoma ; jakaya mrisho Kikwete.
wakati unafanya written walikuambaije kuhusu vyeti vyako, kama una wasiwadi uliza kupita namba zao kwenye tovuti watakusaidia isilete usumbufu nimeona mara kadhaa raia wanarudishwa kwente usaili kwa sababu kama hizo za majina kutofautiana hivyo ni vyema ujiridhishe ili usiishie kwenda Dom kutalii
 
Back
Top Bottom