The firstone
Member
- Sep 9, 2022
- 44
- 135
Ratiba imeshatokaRatiba bado haijapangwa endelea kusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ratiba imeshatokaRatiba bado haijapangwa endelea kusubiri
Mimi nilijibugi 4 tu moja likanibaka..Unaweza kuacha swali na ukatoboa vizuri tu.. maswali ma4 kati ya 5 ukijibu vizuri unayoa.. wao wanasahisha na kuweka marks, hawasahihishi kwa kulazimisha ujibu yote ndio ufaulu.
Ushahidi ninao
Yaaah uko sawa,, kufaulu si lazima ujibu yote, unaweza kujibu yote Ila ukajibu pumba..Mimi nilijibugi 4 tu moja likanibaka..
Na kati ya hayo 4 nilikua na uhakika na mawili.. tu.. hyo mawili nilibet..
Lakini.. nakawa selected kwenye oral.. nilipata 57..
Maana yake nilipata maswali mawili na poit kadhaa kwenye yale maswali mawili
naam mkuu,kama jina lako linavyosadifu mapambano yaendelee bila kuchoka mpaka tujikute ndani ya mzinga na sie tunalamba asali😭😭😭😭
Mara nyungi huwa wanataka ujibu kile kitu ulichoulizwa kwa kifupi sana ila kiwe sahihi, na hapo ndio wengi tunapokwama sababu muda ni mfupi na maswali ni mengi, wengi wanaishia kutomaliza maswaliNimedunda nimeumia, Sekretarieti ya Ajira huwa mnataka mtu ajibu nn
Hongera sana, ikawe heri huko uendako.Wakati wa Mungu ni wakati sahihi, nilitoka kufanya oral ya TRA sikuwa na mzuka tena wa kufanya interview nyingine hata maandalizi ya kujisomea sikufanya ila nilichokuwa namuomba Mungu aniongoze nikatumie knowledge yangu. Nashukuru Mungu upande wa account officer ilikuja hivyo (nilishawahi kuwa mwalimu so lile pepa nilijibu nikiwa nakumbuka nilivyokuwa nafundisha madogo) auditing niliona pepa limenibaka ila pia niliamua kutumia knowledge yangu sikuacha hata swali moja. Mungu mwema majibu yametoka naenda Dodoma tena zote mbili. Ahsante Mungu na kwa wale ambao hamjabahatika aminini Mungu ni mwema wakati wenu waja
In fact 🙏🏿🧢naam mkuu,kama jina lako linavyosadifu mapambano yaendelee bila kuchoka mpaka tujikute ndani ya mzinga na sie tunalamba asali
Mkuu mjurishe sasa hiyo ratiba mwenzio kama ishatoka ye hajui ndomana kaulizaRatiba imeshatoka
Unachosema ni kweli ila kwa nature ya mtihani wa MGA na LGA ulivyokuwa, kujibu maswali yote na kwa usahihi kulikuwa kuna matter sana. Mtihani ulikuwa simple sana hivyo speed na kumaliza paper kulikuwa na maana piaUnaweza kuacha swali na ukatoboa vizuri tu.. maswali ma4 kati ya 5 ukijibu vizuri unayoa.. wao wanasahisha na kuweka marks, hawasahihishi kwa kulazimisha ujibu yote ndio ufaulu.
Ushahidi ninao
Ahsante sanaHongera sana, ikawe heri huko uendako.
Ratiba ipo kwenye account yake aangalie kuna tarehe na mahali pa kufanyia oralMkuu mjurishe sasa hiyo ratiba mwenzio kama ishatoka ye hajui ndomana kauliza
OkayRatiba ipo kwenye account yake aangalie kuna tarehe na mahali pa kufanyia oral
Kuna walioitwa zile za NHC za Temporary? Niendelee kusubiri???Kwa wale mliofanya usaili wa MDA na LGA Januari mwaka huu, matokeo yametoka, ili kuona ya kwako ingia katika akaunti ya ajira portal na angalia kwenye application zako utaona kama upo selected or not selected.
Baada ya hapo subiria tu pdf ya lini Oral lini itafanyika na wapi, mliofanikiwa hongereni, mliodunda endeleeni kukaza buti.
Utafutaji uendelee
Ratiba cheki kwenye website ya utumishi mzee zimewekwa zoteWakubwa Hivii Oral ya AFISA MIFUGO - MDA & LGA ni tarehe ngapii?
Mm naona selected for oral niki view timetable sioni oral timetable, nisaidienii??
Tuma ratiba ya oral tuione mdauimeshatoka
Haina shida kiongozi.Msaada wakuu kwenye oral interview kuhusu majina ya vyeti
Vyeti vya shule majina yanasoma ; jakaya mrisho
Cheti cha kuzaliwa na nida ID majina yanasoma ; jakaya mrisho Kikwete.
ingia kwenye tovuti ya ajira.go.tz utaona mikeka yote, na pia hata kwenyw akaunti yako ya ajira portal utaona kama selected ama laKuna walioitwa zile za NHC za Temporary? Niendelee kusubiri???
wakati unafanya written walikuambaije kuhusu vyeti vyako, kama una wasiwadi uliza kupita namba zao kwenye tovuti watakusaidia isilete usumbufu nimeona mara kadhaa raia wanarudishwa kwente usaili kwa sababu kama hizo za majina kutofautiana hivyo ni vyema ujiridhishe ili usiishie kwenda Dom kutaliiMsaada wakuu kwenye oral interview kuhusu majina ya vyeti
Vyeti vya shule majina yanasoma ; jakaya mrisho
Cheti cha kuzaliwa na nida ID majina yanasoma ; jakaya mrisho Kikwete.