Hapo tafta deed poll mapemaMsaada wakuu kwenye oral interview kuhusu majina ya vyeti
Vyeti vya shule majina yanasoma ; jakaya mrisho
Cheti cha kuzaliwa na nida ID majina yanasoma ; jakaya mrisho Kikwete.
Nenda mahakamani watakupa deed pol au affidavit.Msaada wakuu kwenye oral interview kuhusu majina ya vyeti
Vyeti vya shule majina yanasoma ; jakaya mrisho
Cheti cha kuzaliwa na nida ID majina yanasoma ; jakaya mrisho Kikwete.
Hii haikutoka Secretariat. Walitoa wenyewe hapo December 2022.ingia kwenye tovuti ya ajira.go.tz utaona mikeka yote, na pia hata kwenyw akaunti yako ya ajira portal utaona kama selected ama la
Mkuu naomba uchek pm yakoWakati wa Mungu ni wakati sahihi, nilitoka kufanya oral ya TRA sikuwa na mzuka tena wa kufanya interview nyingine hata maandalizi ya kujisomea sikufanya ila nilichokuwa namuomba Mungu aniongoze nikatumie knowledge yangu. Nashukuru Mungu upande wa account officer ilikuja hivyo (nilishawahi kuwa mwalimu so lile pepa nilijibu nikiwa nakumbuka nilivyokuwa nafundisha madogo) auditing niliona pepa limenibaka ila pia niliamua kutumia knowledge yangu sikuacha hata swali moja. Mungu mwema majibu yametoka naenda Dodoma tena zote mbili. Ahsante Mungu na kwa wale ambao hamjabahatika aminini Mungu ni mwema wakati wenu waja
Tusaidiwe nasi nyie munafanyaje munachaguliwa nasi hatuchaguliwiTarehe 19/02/2023
NENDA UKA_CERTIFY VYETI VYAKO MKUU,Tusaidiwe nasi nyie munafanyaje munachaguliwa nasi hatuchaguliwiView attachment 2518173
Chukua vyeti vyako kavigonge mhuri kwa mwanasheria then viscan viweke hapoKuna category ya VERIFICATION CERTIFICATE kwenye ajira portal hivi pale ni vyeti vya namna gani vinakuwa attached..??
Hivi ni kwa wale waliosoma nje wanatakiwa kuverify vyeti.Kuna category ya VERIFICATION CERTIFICATE kwenye ajira portal hivi pale ni vyeti vya namna gani vinakuwa attached..??
Kila la heri kwa mnaofanya oral
Shukrani mkuu, nilikuwa na oral ya afisa hesabu na afisa ukaguzi ila zote naziacha ili na wenzangu nao wapateHongera kwa placement ya TRA. Hope hatutakuona kwenye oral ya Afisa Hesabu
Naomba kuulza hivi hizi interview za MDAs and LGAs wanaofanya upande wa afya mfano Manesi Huwa wanapangiwa kufanya kazi sehem zipi haswa?Unachosema ni kweli ila kwa nature ya mtihani wa MGA na LGA ulivyokuwa, kujibu maswali yote na kwa usahihi kulikuwa kuna matter sana. Mtihani ulikuwa simple sana hivyo speed na kumaliza paper kulikuwa na maana pia
Tatizo enze zenu hata mainterviewer walikuwa vilaza ndo maana Hata wewe kilaza mzee uliku unawaonyeshaVijana wa siku hizi wakisikia interview matumbo yanawaka moto. Enzi zangu nilikuwa nalilia interview NIKAWAONYESHE
Wewe kiwembe kwanini usiwaonyeshe mainterviewer viwembe wa siku hizi kama sio mbulula dezoTatizo enze zenu hata mainterviewer walikuwa vilaza ndo maana Hata wewe kilaza mzee uliku unawaonyesha
Mimi nawanyosha kwenye matumizi ya pesa wewe endelea kusubiri kiinua mgongoWewe kiwembe kwanini usiwaonyeshe mainterviewer viwembe wa siku hizi kama sio mbulula dezo