Matokeo yakiwa hivi inachukua muda gani hadi kuachiwa?

Umeshalipa tayari? Inachukua wiki mbili au tatu kama sikosei, bila kusahau ruti za kufuatilia NECTA ila mambo yaharakishwe.
 
Umesharipa tayari? Inachukua wiki mbili au tatu kama sikosei, bila kusahau ruti za kufuatilia NECTA ila mambo yaharakishwe.
Tulilipia tangu mwaka jana na tushaongea na walimu wamesema watafuatilia ila ndo sijui lini yatatoka
 
Tulilipia tangu mwaka jana na tushaongea na walimu wamesema watafuatilia ila ndo sijui lini yatatoka
Fuatilia mwenyewe, kwa kifupi hizi taasisi za serikali bila kugonga hodi mala kwa mala utachelewa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…