Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
Igweeee!!!
Raha ya kusoma Chuo ni kufaulu vizuri. Pamoja na Raha nyingine za Chuo lakini kufaulu ndio breki ya raha zote.
Miaka mitatu, Minne, mitano na hata Saba ya degree moja si lelemama.
Ni Jambo la kumshukuru Mungu pale unapohitimu Chuo bila kupata Sapu yoyote.
Nichukue nafasi hii kuwaalikeni katika mahafali ya arobaini na moja katika Chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM).
Pia Kwa Vyuo vingine wanaweza kuchukua fursa hii kuwakaribisha WanaJF kupitia Uzi huu.
Karibuni nyote.
Best Regards
Michaelray22.
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha ya kusoma Chuo ni kufaulu vizuri. Pamoja na Raha nyingine za Chuo lakini kufaulu ndio breki ya raha zote.
Miaka mitatu, Minne, mitano na hata Saba ya degree moja si lelemama.
Ni Jambo la kumshukuru Mungu pale unapohitimu Chuo bila kupata Sapu yoyote.
Nichukue nafasi hii kuwaalikeni katika mahafali ya arobaini na moja katika Chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM).
Pia Kwa Vyuo vingine wanaweza kuchukua fursa hii kuwakaribisha WanaJF kupitia Uzi huu.
Karibuni nyote.
Best Regards
Michaelray22.
Sent using Jamii Forums mobile app