Matokeo yoyote ya Uwenyekiti CHADEMA, Hayatamnufaisha Mbowe, ni wakati sahihi wa yeye kujitoa kulinda heshima yake!

Matokeo yoyote ya Uwenyekiti CHADEMA, Hayatamnufaisha Mbowe, ni wakati sahihi wa yeye kujitoa kulinda heshima yake!

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Kwa Ninachokiona hapa Mbowe hawezi kushinda kihalali kamwe,

Na akishindwa kwa njia ya Kura atakua amedhalilika na ametoka kwa aibu ya kukataliwa na wanachama, na endapo atalazimisha ushindi wa bao la mkono au vyovyote vile basi Chama kitapoteza ushawishi sana kwa wananchi na wanachama wa kawaida ambao wanamtaka Lissu na Heche,

So nini kifanyike?

Kama mbowe nahitaji kulinda brand yake na kulinda chama ni heri ajitoe kwenye kinyang'anyilo, ni bora agombee lisu na mtu mwingine

Mbowe akae pembeni atabaki na heshima yake na atabaki kuwa mshauri na mjumbe wa kamati kuu ya chama milele,

Uchaguzi wa mwaka huu sio sawa na chaguzi zilizopota saivi watu wameamka

Mpaka sasa wajumbe wa mikoa karibia saba wametamka hadharani kumuunga mkono lissu

Waliotamka hadaharani kumuunga mkono mbowe ni Ntobi na yericko nyerere


Mzee wangu mbowe jiulize kwanini nyerere anaheshimika mpaka leo lakini mugabe anadharauliwa!
 
Duh
Kwa Ninachokiona hapa Mbowe hawezi kushinda kihalali kamwe,

Na akishindwa kwa njia ya Kura atakua amedhalilika na ametoka kwa aibu ya kukataliwa na wanachama, na endapo atalazimisha ushindi wa bao la mkono au vyovyote vile basi Chama kitapoteza ushawishi sana kwa wananchi na wanachama wa kawaida ambao wanamtaka Lissu na Heche,

So nini kifanyike?

Kama mbowe nahitaji kulinda brand yake na kulinda chama ni heri ajitoe kwenye kinyang'anyilo, ni bora agombee lisu na mtu mwingine

Mbowe akae pembeni atabaki na heshima yake na atabaki kuwa mshauri na mjumbe wa kamati kuu ya chama milele,

Uchaguzi wa mwaka huu sio sawa na chaguzi zilizopota saivi watu wameamka

Mpaka sasa wajumbe wa mikoa karibia saba wametamka hadharani kumuunga mkono lissu

Waliotamka hadaharani kumuunga mkono mbowe ni Ntobi na yericko nyerere


Mzee wangu mbowe jiulize kwanini nyerere anaheshimika mpaka leo lakini mugabe anadharauliwa!
 
IMG_20241015_162639.jpg
 
Kwa Ninachokiona hapa Mbowe hawezi kushinda kihalali kamwe,

Na akishindwa kwa njia ya Kura atakua amedhalilika na ametoka kwa aibu ya kukataliwa na wanachama, na endapo atalazimisha ushindi wa bao la mkono au vyovyote vile basi Chama kitapoteza ushawishi sana kwa wananchi na wanachama wa kawaida ambao wanamtaka Lissu na Heche,

So nini kifanyike?

Kama mbowe nahitaji kulinda brand yake na kulinda chama ni heri ajitoe kwenye kinyang'anyilo, ni bora agombee lisu na mtu mwingine

Mbowe akae pembeni atabaki na heshima yake na atabaki kuwa mshauri na mjumbe wa kamati kuu ya chama milele,

Uchaguzi wa mwaka huu sio sawa na chaguzi zilizopota saivi watu wameamka

Mpaka sasa wajumbe wa mikoa karibia saba wametamka hadharani kumuunga mkono lissu

Waliotamka hadaharani kumuunga mkono mbowe ni Ntobi na yericko nyerere


Mzee wangu mbowe jiulize kwanini nyerere anaheshimika mpaka leo lakini mugabe anadharauliwa!
Kwanini Team Lissu mna wasiwasi sana Mbowe? Kwanini msiingie kwenye uchaguzi, ashindwe ili auone uhalisia kuwa sasa chama kinahitaji mabadiliko. Akitoka atajuaje?
 
Kwa Ninachokiona hapa Mbowe hawezi kushinda kihalali kamwe,

Na akishindwa kwa njia ya Kura atakua amedhalilika na ametoka kwa aibu ya kukataliwa na wanachama, na endapo atalazimisha ushindi wa bao la mkono au vyovyote vile basi Chama kitapoteza ushawishi sana kwa wananchi na wanachama wa kawaida ambao wanamtaka Lissu na Heche,

So nini kifanyike?

Kama mbowe nahitaji kulinda brand yake na kulinda chama ni heri ajitoe kwenye kinyang'anyilo, ni bora agombee lisu na mtu mwingine

Mbowe akae pembeni atabaki na heshima yake na atabaki kuwa mshauri na mjumbe wa kamati kuu ya chama milele,

Uchaguzi wa mwaka huu sio sawa na chaguzi zilizopota saivi watu wameamka

Mpaka sasa wajumbe wa mikoa karibia saba wametamka hadharani kumuunga mkono lissu

Waliotamka hadaharani kumuunga mkono mbowe ni Ntobi na yericko nyerere


Mzee wangu mbowe jiulize kwanini nyerere anaheshimika mpaka leo lakini mugabe anadharauliwa!
Kwanini Team Lissu mna wasiwasi sana Mbowe? Kwanini msiingie kwenye uchaguzi, ashindwe ili auone uhalisia kuwa sasa chama kinahitaji mabadiliko. Akitoka atajuaje?
 
Back
Top Bottom