Matola achaguliwa kuwa kocha Mkuu wa timu ya Vijana Simba SC

Matola achaguliwa kuwa kocha Mkuu wa timu ya Vijana Simba SC

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1685525979166.png

Klabu ya Simba leo imemtangaza Patrick Rweyemamu kuwa Mkuu wa Programu za Vijana wa Simba wakati Selemani Matola akitangazwa kuwa Kocha Mkuu wa timu za Vijana U-17 na U-20.

Mtendaji Mkuu wa Simba Imani Kajula amesema Simba imedhamiria kuimarisha timu zake za vijana akiamini huo ndio utaratibu unaotumiwa na timu zote zilizofanikiwa.
 
Kwahivyo ulitaka atolewe Mgunda na Robertino halafu apewe Senior Timu kama kocha Mkuu?

Nyie mna jema kutoka wapi bhana.!
Kama hawawezi kumpa timu bora aondoke, huwezi kuwa assistant coach almost miaka 5 timu ya ligi kuu then unarudishwa kufundisha watoto, atakua lini? hao watoto ligi yao ipo wapi ? Kumbuka Matola kasha wahi kua kocha mkuu Lipuli
 
Kama hawawezi kumpa timu bora aondoke, huwezi kuwa assistant coach almost miaka 5 timu ya ligi kuu then unarudishwa kufundisha watoto, atakua lini? hao watoto ligi yao ipo wapi ? Kumbuka Matola kasha wahi kua kocha mkuu Lipuli
Cedric Kaze alipokuja Yanga mara ya kwanza alikuwa Kocha Mkuu, na hii mara ya pili ni Kocha Msaidizi..Je naye ni bora aondoke..?!
 
Cedric Kaze alipokuja Yanga mara ya kwanza alikuwa Kocha Mkuu, na hii mara ya pili ni Kocha Msaidizi..Je naye ni bora aondoke..?!
Sio msaidizi tu kwenye youth na feminine ana position tena technical
 
Kama hawawezi kumpa timu bora aondoke, huwezi kuwa assistant coach almost miaka 5 timu ya ligi kuu then unarudishwa kufundisha watoto, atakua lini? hao watoto ligi yao ipo wapi ? Kumbuka Matola kasha wahi kua kocha mkuu Lipuli
Aondoke aende wapi?
 
Mgosi ameenda wapi au anarudi kwenye timu ya wanawake
 
Back
Top Bottom