Matonya aliamsha dude ni kuhusu wimbo wa zilipendwa

Matonya aliamsha dude ni kuhusu wimbo wa zilipendwa

wasanii wa bongo wanaendelea kuniaminisha kuwa kwa sasa ukitaka kuwa kwenye chati ni lazima ugombane na diamond bila hvyo hata wimbo wako hautakuwa mkubwa matonya hafanani chochote na diamond kwa hizo nyimbo.....diamond anatajiwa vitu vya zamani vilivyo vuma anawajibu kuwa kwa sasa hizo zilipendwa zimebaki story lakini matonya anataja vitu vya sasa ambavyo ni vibaya na kusema zilipendwa (ishara ya kuvi dharau) so ni vitu viwili tofauti kabisa kabisa kabisa sasa wasitake kumtumia diamond kama ngazi ndio maana jamaa anapata bless nyingi kila leo......hii idea akina diamond waliipresent wakati wa birthday ya salaam ni idea moja nzuri sana na kubwa sanaaa sitaacha kuwapenda WCB Nakuwa support....nimependa harmonize alivyo igiza
 
"Maswala ya zilipendwa zilishaimbwa na matonya"

Hii sentensi yako ina ukakasi mahali...ina maana mtu akiimba maswala ya upinzani/kilimo/kufumaniwa haruhusiwi msanii mwingine kuja kuimba masuala hayo hayo yalioimbwa na waliopita?

Nikieleweshwa nitashukuru.
Matonya keshasema hahaha sasa nyie endeleeni!

brain is the beautiful part of the body.
 
Sasa amekupiwa nini kwenye huo wimbo? Yeye ni mmiliki wa neno Zilipendwa?
Unajua hawa wasanii walivyosikia kuwa AY na FA wamepiga hela kupitia Tigo basi wanafikiri ni rahisi tuu basi unapewa hela...Sijaona ni wapi WCB wamekopi kutoka kwa Matonya zaidi ya kufanana kwa jina la wimbo maana melody,beat,maneno na kila kitu ni tofauti kabisa...
Sasa ana fananisha na swala la saida wakati kwa saida ni kweli walikopi kila kitu tofauti na yake ambayo ina tofauti...
Matonya mjini hakuna hela ya bure utasaga meno.
Hahaa si ndo hapo nimeshangaa kutumia neno zilipendwa ndo wamshirikishe? What nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0937e6f3bb5b00ee4cb0ce3e7b4a8044.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila mtu anatafuta pakutokea kuibiwa nini sasa[emoji38] [emoji38] sasa Badala yakwenda basata, cosota anaenda IG kureport?
apambane na hali yake
 
Twende mahakamani baba wale wasafiria nyota lazima watulipe chetu
 
Habari za jumapili wakuu , kwa povu hilo VP matonya yuko sawa?? Kama ni kweli wameiba idea ya matonya Hawa watu wataishia pabaya aisee
c1f6014d1cc7b0dad827948caf05ebbb.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom