Matonya alivunja katiba ya bongo flava, hakushitakiwa

Matonya mpaka kawa mzee matonya yule marehemu ombaomba ila mzee matonya japo alijenga
 
Akwelina, hii nyimbo Matonya alitoa kuhusu dada anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja
 
Hii ni kweli kabisa. Baada ya hii conflict kutokea ndio ikawa kama Tonya ameshuka kimuziki. Pia Tonya ana skendo skendo za kukosa uaminifu kwenye maokoto!
 
Hii ni kweli kabisa. Baada ya hii conflict kutokea ndio ikawa kama Tonya ameshuka kimuziki. Pia Tonya ana skendo skendo za kukosa uaminifu kwenye maokoto!

Alivyokorofishana na Tunda, Tonya alipotea mpaka alivyokuja kubebwa na Lady JayDee Kwenye Anita.
Kwenye mambo ya pesa wabongo wengi ni konakona tu. Na hii ndio sababu ya kuzorota kwa maendeleo Kwenye nyanja nyingi.
We mtu akikufanyia kazi mlipe vizuri afurahie jasho lake kisha angalia atakavyojituma.
 
Baadae akaamua kuuza ngada
 
Huku ruge akikununuia ndo kwisha habari yako
Mziki ulikuwa umekamatwa na deep state wa kipindi hicho wakiongozwa na ruge
 
Sema unaonekana humjui vizuri matonya maana hit yake Kali ya Kwanza ilikua... NAMTAFUTA MREMBO
Wote hammjui,uaminifu ndio wimbo wa kwanza kumtoa,akapewa zawadi ya pikipiki na Bozinia,Matonya akaacha kuwinda njiwa kwa manati barabara za namba
 
Ukiacha yote binafsi nimependa uwasilishaji wako
 
Kipindi anakimbiza miaka hiyo yote MB Doggy alikuwa wapi? Is MB DOGGY JOKE TO YOU?![emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…