Zanzibar 2020 MATUKIO KATIKA PICHA NA VIDEO: Yaliyojiri visiwani Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu 2020

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Your browser is not able to display this video.

Video ikionyesha wananchi wakiwarushia mawe askari visiwani Zanzibar


Your browser is not able to display this video.


Video ikiwaonyesha askari wakimshushia kipigo Mwananchi kwa madai ya kuwarushia maneno



Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.
 
Mtoa post ni muongo, huyo jamaa kawatukana askari matusi kama yote, na walikuwa kwenye msafara wakamvuta pembeni.
Ndg Hata Haujui Kutetea Uongo wako. Je, aliyesimama na black clothing na ameelekeza mtutu sehemu, huyu je tupe ukweli tena. Inaonekana kuna sintofahamu sehemu hiyo, sema ukweli ambao utakuwa ni uongo tu kwa mjibu wa postst hii.
 
Ni ujinga na upumbafu kuwatukana wanajeshi wanaokulinda, waliwalinda wazazi wako wakati wanakutafuta kutoka kwenye maungo yao.

Hao jeshi wanasimamia sheria tuliyojitungia(kwa kutumia vyombo vyetu kadiri ya katiba), kwa nini uwatukane sasa. Hao jeshi wanatembea na silaha za moto.

Maalim na Tundu Antisipas Lissu msiwadanganye watoto wetu, tunaumia sisi wazazi na ndugu. Lissu watoto wake amewaacha Ulaya, Maalim sijui wa kwake wako wapi.
 
Bado pia sioni kama askari wana mamlaka ya kuchukua sheria mkononi, wangemfungulia mashtaka kwa kosa hili kwa kulingana na vifungu vya sheria
Ni kweli, mimi nilichopinga ni sababu ya mtoa post kusema eti kosa ni kuvaa shati la ACT

Hiyo video imekatwa kwa makusudi, angalia full video chini uone katika umati wote huo wamemchukua yeye tu

Your browser is not able to display this video.
 
Halafu cha kushangaza huo umati wote wanamuangalia tu, hakuna anayemsaidia tena. Alijua sijui wenzake wataingilia.
 
Polisi wanaruhusiwa kugawa adhabu ?, yaani kisheria tusi moja ni kipigo cha kiwango gani ?
Siungi mkono huyo kupigwa, ila nilikuwa namuweka sawa mtoa post kuwa sababu sio kuvaa shati la ACT bali sababu ni alitukana. Na ndio maana unaona kwenye huo umati wote wamemchomoa yeye tu, huku wenzake wakibakia kuangalia tu.
Angalia video yote hapa uone kisa kilipoanzia.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…