Zanzibar 2020 MATUKIO KATIKA PICHA NA VIDEO: Yaliyojiri visiwani Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu 2020

Zanzibar 2020 MATUKIO KATIKA PICHA NA VIDEO: Yaliyojiri visiwani Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu 2020

Bado pia sioni kama askari wana mamlaka ya kuchukua sheria mkononi, wangemfungulia mashtaka kwa kosa hili kwa kulingana na vifungu vya sheria
Kwanza tokea lini jeshi la kulinda mipaka ya nchi likabadilika kuwa wasimamizi wa uchaguzi! Halafu sisi wananchi tunanyamazia mambo ya mental case kama hayo kama mazuzu vile
 
Back
Top Bottom