Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka Sana siyo kwa mazuri bali nimecheka sana
Mwaka 2000 alizalisha wakimbizi na vifo kibao,akahamia Starlight hotel Dar es salaam akawa anakunywa mvinyo.Huwezi kuuwa watu wote dunia ya Leo.
Kwanini ngome za Wapinzani ndio wanamwaga Mapolisi na Majeshi kwa kisingizio cha Uhalifu???
"HAKI huchukuliwa HAKI huwa haiombwi" Sheikh PondaMwaka 2000 alizalisha wakimbizi na vifo kibao,akahamia Starlight hotel Dar es salaam akawa anakunywa mvinyo.
Tutaona huo mkwara mbuzi baada ya uchaguzi."HAKI huchukuliwa HAKI huwa haiombwi" Sheikh Ponda
Ila kuna sheria inaruhusu kurushia mawe askari?.Hakuna sheria inayosema wampige hata kama amewatukana.
Unalizungumziaje swala la raia kurushia mawe askari..hawakutakiwa kumpiga.
..kwanza, hakuwa-resist wakati wanamchomoa.
..pili, haonekani kuwa na silaha yoyote ile.
..tatu, amekaa chini sasa kwanini apigwe huku amekaa chini?
Hiyo clip inaonyesha wakirusha mawe?Ila kuna sheria inaruhusu kurushia mawe askari?.
Mfungua uzi ameiweka ya kwanza kabisaHiyo clip inaonyesha wakirusha mawe?
Nafikiri ni matukio mawili tofauti ambayo yalitakiwa kushughulikiwa kulingana na matukio yenyewe.Mfungua uzi ameiweka ya kwanza kabisa
View attachment 1612694
Video ikionyesha wananchi wakiwarushia mawe askari visiwani Zanzibar
View attachment 1612678
Video ikiwaonyesha askari wakimshushia kipigo mwananchi kwa madai ya kuwarushia maneno
Hadi haki ipatikane.Siungi mkono huyo kupigwa, ila nilikuwa namuweka sawa mtoa post kuwa sababu sio kuvaa shati la ACT bali sababu ni alitukana. Na ndio maana unaona kwenye huo umati wote wamemchomoa yeye tu, huku wenzake wakibakia kuangalia tu
Angalia video yote hapa uone kisa kilipoanzia
View attachment 1612688
Kazi ya askari sio kuhukumu. Kazi yake km kavunja sheria kwa kutukana ni kumkamata peleka police then mahakamani. Walichokifanya askari ni uhuni.Unalizungumziaje swala la raia kurushia mawe askari
Wanajeshi wanaruhusiwa kugawa adhabu? Yaani kisheria tusi moja ni kipigo cha kiwango gani?Ni ujinga na upumbafu kuwatukana wanajeshi wanaokulinda, waliwalinda wazazi wako wakati wanakutafuta kutoka kwenye maungo yao.
Hao jeshi wanasimamia sheria tuliyojitungia(kwa kutumia vyombo vyetu kadiri ya katiba), kwa nini uwatukane sasa. Hao jeshi wanatembea na silaha za moto.
Maalim na TAL msiwadanganye watoto wetu, tunaumia sisi wazazi na ndugu. Lissu watoto wake amewaacha Ulaya, Maalim sijui wa kwake wako wapi.
Ila kuna sheria inaruhusu kurushia mawe askari?.