Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Hivi ni nani alikwambia masultani walikuwa wanawanyanyasa, kuwakata mapanga na kuwatoa matumbo wazanzibari? Wewe ni mmoja kati ya mnaoamini kuwa Beit al ajaib (Beti la jaibu) wakati linajengwa watu walikuwa wanawekwa wazima wazima kwenye nguzo zake!Safi sana, wananchi wamechoka utawala wa kiraia wanataka masultan warudi kuwatawala na kuwanyanyasa tena huku wakiwakata mapanga na kuwatoa mautumbo wazanzibari. Subirini tu, ipo siku mtakuja vuna mnachopanda.
Mbona jengo liliwahi kuporomoka na hakuna hata ushahidi wa mifupa iliyopatikana kwenye hizo nguzo? Kikubwa Zanzibar inabanwa kwasababu bila ya hivyo ingekuwa mbali sana kimaendeleo pamoja na mambo mengine.