Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Kwa nini wewe kijana ukubali kutumiwa? Je wewe unayekubali kutumiwa unafanya CBA???
Kumbuka, atakayeteseka ni wewe unayekubali kutumiwa pamoja na familia yako..... Wakati huo wanakutumia watakuwa Ubelgiji .....
Mtasema mpaka MAPOVU yatoke, lakini huo ndio utaratibu na hayo ya USA na hizo data ni zao na hayo ni ya kwao. Sisi tunaendela na kutekeleza maamuzi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar!Acha ubwege wako wewe.
Hivi unaweza kueleza ni kwanini USA wanatumia utaratibu wa KURA ZA AWALI? Marekani Ni nchi kubwa na inawapiga kura zaidi ya milioni
Acha ungese wa kutaka kulinganisha Democracy ya USA na Zanzibar! That's a total lunatic ideas! Unaweza kutuambia Kwanini USA wame-adopt utaratibu wa Kupiga kura siku tafautitafauti?
Population ya USA ni more than 320m + na registered voters Ni zaidi ya milioni 100!
USA mpaka Raia wakioko nje ya Marekani wanaruhusiwa kupiga kura kwa Utaratibu huo.
ZANZIBAR ina population ya watu 0.7 milioni(700,000) na Wapiga kura 0.4 milioni(400,000).Kwa idadi hiyo ya Watu na Wapiga kura iko wapi mantiki ya Watu kupiga kura kwa siku 2?
Tanzania Bara kwenye watu Milioni 55+ na Wapiga kura 29.1 Milioni(questionable) wanapiga kura siku 1 ya 28/10/2020!
Kwanini Zanzibar yenye Wapiga kura 400,000 Watumie siku 2?
Try to think big brother. Acha kurubuniwa akili na Makuwadi wa Kisiasa wa CCM!!!
Mtasema mpaka MAPOVU yatoke, lakini huo ndio utaratibu na hayo ya USA na hizo data ni zao na hayo ni ya kwao. Sisi tunaendela na kutekeleza maamuzi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar!
Hongera kwako wewe unaetumiwa na wafalme kwa kuwamiminia risasi raia..Kwa nini wewe kijana ukubali kutumiwa? Je wewe unayekubali kutumiwa unafanya CBA???
Kumbuka, atakayeteseka ni wewe unayekubali kutumiwa pamoja na familia yako..... Wakati huo wanakutumia watakuwa Ubelgiji .....
Kama Askari wasingejihusisha na mambo ya siasa hakuna damu yeyeto ya mtza inaweza potea
Hongera kwako wewe unaetumiwa na wafalme kwa kuwamiminia risasi raia..
Hongera sana kwako wewe hutokufa kamwe!
Lkn sio kuuwa watu, kumwagwa damu za watu uchochea hasira na kuamsha umma ambayo itakuwa ni Vita kubwa Sana Kati ya Askari na raia ambayo Askari awatoimudu.Askari wasikanyage fyuzi ni vyema wawaache wanasiasa wanyukane wenyewe.Kuna watu ni wajinga, hata kusingekuwa na askari bado wangeleta ujinga.
Hivyo wacha wapate haki yao, mimi ni upinzani mbona sibughuziwi?
Huwezi kuwa timamu na ukaongea hiviMaalim na TAL damu ya watoto wetu ikimwagika watahusika. TAL wanae wanakula maisha ulaya,huku anacheza na akili za watoto wetu. Maalim wanae sijui wako wapi,sidhani kama wapo zenji. Zikinuka maalim atakuja maisha bara,serena hotel.. Hivi ni lazima maalim awe Rais wa Zanzibar?? Eti lazima kulinda ushindi!! Kwani kura imepigwa?? Asicheze na akili za watu,amani italindwa kwa gharama yoyote,asilete ushenzi
Kuna watu ni wajinga, hata kusingekuwa na askari bado wangeleta ujinga.
Hivyo wacha wapate haki yao, mimi ni upinzani mbona sibughuziwi?
Sasa unadhani vpHilo la kusababisha watu wafe ndio sababu ya kuwa Ccm huwa haishindi uchaguzi.?
Lkn sio kuuwa watu, kumwagwa damu za watu uchochea hasira na kuamsha umma ambayo itakuwa ni Vita kubwa Sana Kati ya Askari na raia ambayo Askari awatoimudu.Askari wasikanyage fyuzi ni vyema wawaache wanasiasa wanyukane wenyewe.
Hofu ya ndugu yao ccm kushindwa mabosi zao wengi watakosa shibe, kumbuka mabosi zao ndio wanufaika Hawa wa chini ni watii amri ili wasifukuzwe kaziSwali ni: KWANINI HAWA MAPOLISI WA CCM WANATUNIA SILAHA ZA MOTO??
MABOMU YA MACHOZI NA MAJI YA KUWASHA SIKU HIZI IT HAWANA?
Lkn sio kuuwa watu, kumwagwa damu za watu uchochea hasira na kuamsha umma ambayo itakuwa ni Vita kubwa Sana Kati ya Askari na raia ambayo Askari awatoimudu.Askari wasikanyage fyuzi ni vyema wawaache wanasiasa wanyukane wenyewe.
Kijana tumia akili yako ikupasavyo!Hongera kwako wewe unaetumiwa na wafalme kwa kuwamiminia risasi raia..
Hongera sana kwako wewe hutokufa kamwe!
Hao waliouliwa wakiwa majumbani mwao wako barazani wamekaa, wengine anateka maji, hayo mawe saa ngapi walirusha. Waache kuamsha hasira za raiaHao raia wa zenj wanawarushia mawe askari, unategemea nini?
Acha wapate wanachostahili
Acha upumbavu wewe, unaakili ya kizamani sana na ya kinafki.Kijana tumia akili yako ikupasavyo!
Maisha ni ya kwako mwenyewe, sio ya chama
Hata huyu unayempambania akishinda usidhani kuwa mambo yako yatabadilika
Na utakapoumizwa usidhani ya kuwa atakupambania
Tumia akili, achana na hizo mob pschology za kitoto
Usijidanganye, Zanzibar haiwezi kuendelea kwa itikadi walizonazo...ondoa huu ujinga kichwani mwako. Watu hawataki kusoma eti wanaona ujiko kukariri Qur'an ila kusoma lugha yao hawajuwi. Nani atakuajiri kwa kukariri Qur'an tu? Vijana kazi hawataki kufanya eti wanataka kuwa mashoga na kubebab mizigo ya watalii ufukweni, si upuuzi huu?Hivi ni nani alikwambia masultani walikuwa wanawanyanyasa, kuwakata mapanga na kuwatoa matumbo wazanzibari? Wewe ni mmoja kati ya mnaoamini kuwa Beit al ajaib (Beti la jaibu) wakati linajengwa watu walikuwa wanawekwa wazima wazima kwenye nguzo zake!
Mbona jengo liliwahi kuporomoka na hakuna hata ushahidi wa mifupa iliyopatikana kwenye hizo nguzo? Kikubwa Zanzibar inabanwa kwasababu bila ya hivyo ingekuwa mbali sana kimaendeleo pamoja na mambo mengine.