Zanzibar 2020 MATUKIO KATIKA PICHA NA VIDEO: Yaliyojiri visiwani Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu 2020

Zanzibar 2020 MATUKIO KATIKA PICHA NA VIDEO: Yaliyojiri visiwani Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu 2020

Kuna mahali kama Taifa tunapatamani kweli kufika, ila tunaenda vizuri sana, tutapafika tu! Dola na uongozi kazaneni tumekaribia kupafika, ni juhudi kidogo tu zinatakiwa mwishoni hapa.

Ulaya wao walifika baada ya watawala na watawaliwa kudundana kweli kweli yaani waliuwana Sana na mshindi akupatikana thus wakakaa chini wakaja na mfumo sahihi wa demokrasia.Leo Wana heshimiana Sana na kuogopana Kati ya watawala na watawaliwa kila mmoja usimama mahali pake bila kuoneana
 
Kwani waliompiga risasi akwelina hadi mauti yakamkuta walikuwa na sababu gani?Policcm ni wauwaji tu na hufurahia mauaji ya watanzania wasio na hatia.

Police siku zote ndio chanzo cha vurugu nchini,
Check mfano mapokezi ya Lisu alivyorudi hakuna hata nyasi za makonda zilizokanyagwa Wala simu kuporwa
 
Maalim
View attachment 1612694
Video ikionyesha wananchi wakiwarushia mawe askari visiwani Zanzibar


View attachment 1612678

Video ikiwaonyesha askari wakimshushia kipigo Mwananchi kwa madai ya kuwarushia maneno



View attachment 1613114
View attachment 1613116
View attachment 1613118
View attachment 1613119

View attachment 1613113
Maalim Seif yu wapi au kwatanguliza wenziwe tu!? Mkiwachokoza polisi mtaipata FRESH! Hivi mkingoja kesho (28/10/2020) ili mpige kura itakuwaje!?
 
Jukumu la Askari ni kusimamia amani hakuna watu waelewa Kama watz wanapowekewa utaratibu uufuata. Ni ajabu Sana kwa vyombo vya dola kuingilia mambo ya siasa iwaache wanasiasa wanyukane wenyewe
 
Police ndo huwa chanzo cha vurugu.
Kwann kura zipigwe siku mbili
Huo ni utaratibu tu uliowekwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, una ubaya gani!? Mbona hao mnaowaamini sana, USA, wanapiga na wameshapiga MAKURA mengi tu ya uchaguzi wao wa Rais wa tarehe 03/11/2020. Mbona hamwashangai, nyie vipi?
 
Jukumu la Askari ni kusimamia amani hakuna watu waelewa Kama watz wanapowekewa utaratibu uufuata. Ni ajabu Sana kwa vyombo vya dola kuingilia mambo ya siasa iwaache wanasiasa wanyukane wenyewe

Police wanatekeleza maelekexo toka juu."PIGA RISASI KIONGOZI AU MFUASI YEYOTE WA UPINZANI"
Ndicho kinachoendelea huko Visiwani va Marashi ya Karafuu!!!
 
Ule usemi kwamba Zanzibar ni koloni la Tanganyika ndipo unapodhihirika sasa, mtu mgeni akifika hapo leo atajua nchi iko vitani.

Hapo Tanganyika inapigana kufa kupona kudhibiti koloni lake.
 
Huo ni utaratibu tu uliowekwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, una ubaya gani!? Mbona hao mnaowaamini sana, USA, wanapiga na wameshapiga MAKURA mengi tu ya uchaguzi wao wa Rais wa tarehe 03/11/2020. Mbona hamwashangai, nyie vipi?
Utaratibu usiokubaliwa na wengi si utaratibu wa haki.
Wa znz awafiki hata milioni 1 why siku mbili Hali bara watu zaidi ya milioni 60 siku moja
 
Utaratibu usiokubaliwa na wengi si utaratibu wa haki.
Wa znz awafiki hata milioni 1 why siku mbili Hali bara watu zaidi ya milioni 60 siku moja
Nasema huo ni utaratibu tu, ni kama wa USA! Idadi ya watu siyo hoja hapa, hoja ni nini kifanyike ili kukamilisha zoezi letu vizuri.
 
Watanzania hasa huko visiwanio zanzibar. Tunapoiharibu hii nchi kwa kutaka kuwafurahisha watu tutaumia pasipo faida. Ukiangalia hao wanao andamana na vigoma ni watoto wadogo ambao hata kura sidhani kama wanapiga. Wataumia bure hao wanaowapigania wamejificha majumbani na familia zao.
 
Watanzania hasa huko visiwanio zanzibar. Tunapoiharibu hii nchi kwa kutaka kuwafurahisha watu tutaumia pasipo faida. Ukiangalia hao wanao andamana na vigoma ni watoto wadogo ambao hata kura sidhani kama wanapiga. Wataumia bure hao wanaowapigania wamejificha majumbani na familia zao.
Napenda sana maneno yenu wafaidika wa hii nchi, huwa mna busara sana
 
Cost Benefit Analysis is not only for the Citizens. Je, Dola wamefanya hiyo CBA kabla ya kuanza kuwafyatulia Risasi za Moto raia wasio hatia?
Je, hivi siku hizi Polisi wetu hawana Mabomu ya Machozi na Maji ya Washawasha??? KWANINI WANATUMIA RISASI ZA MOTO?
Kwa nini wewe kijana ukubali kutumiwa? Je wewe unayekubali kutumiwa unafanya CBA?
Kumbuka, atakayeteseka ni wewe unayekubali kutumiwa pamoja na familia yako..... Wakati huo wanakutumia watakuwa Ubelgiji .....
 
Huo ni utaratibu tu uliowekwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, una ubaya gani!? Mbona hao mnaowaamini sana, USA, wanapiga na wameshapiga MAKURA mengi tu ya uchaguzi wao wa Rais wa tarehe 03/11/2020. Mbona hamwashangai, nyie vipi?

Acha ubwege wako wewe.
Hivi unaweza kueleza ni kwanini USA wanatumia utaratibu wa KURA ZA AWALI? Marekani Ni nchi kubwa na inawapiga kura zaidi ya milioni
Huo ni utaratibu tu uliowekwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, una ubaya gani!? Mbona hao mnaowaamini sana, USA, wanapiga na wameshapiga MAKURA mengi tu ya uchaguzi wao wa Rais wa tarehe 03/11/2020. Mbona hamwashangai, nyie vipi?

Acha ungese wa kutaka kulinganisha Democracy ya USA na Zanzibar! That's purely and total lunatic ideas! Unaweza kutuambia Kwanini USA wame-adopt utaratibu wa Kupiga kura siku tafautitafauti?
Population ya USA ni more than 320m + na registered voters ni zaidi ya milioni 100!
USA mpaka Raia wakioko nje ya Marekani wanaruhusiwa kupiga kura kwa Utaratibu huo.
ZANZIBAR ina population ya watu 0.7 milioni(700,000) na Wapiga kura 0.4 milioni(400,000).Kwa idadi hiyo ya Watu na Wapiga kura iko wapi mantiki ya Watu kupiga kura kwa siku 2?
Tanzania Bara kwenyewe watu Milioni 55+ na Wapiga kura 29.1 Milioni(questionable) wanapiga kura siku 1 ya 28/10/2020!
Kwanini Zanzibar yenye Wapiga kura 400,000 Watumie siku 2?
Try to think big brother. Acha kurubuniwa akili na Makuwadi wa Kisiasa toka CCM!!!
 
Back
Top Bottom