Matukio makubwa mawili wanasoka tumeyashuhudia Tanzania msimu

Matukio makubwa mawili wanasoka tumeyashuhudia Tanzania msimu

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Achana na mbio za kiatu za Fei na Aziz Kila mwanasoka msimu huu ameshuhudia pazia jeusi likifunika soka la tz ambapo nyumba ya vipaji kwa soka la Tanzania ikianguka
Kila mtu mtu ukimuuliza atakwambia nimeiona mtibwa sugar ikishuka daraja na Simba ikishika nafasi ya 3
Haya ni matukio makubwa kabisa ambayo sio rahisi kwa mwanasoka yeyote wakati msimu unaanza angekwambia kuwa atayashuhudia haya,miamba miwili ya soka ikiporomoka vibaya anyway ndio mpira na ndio maana yanga wameanzisha chuo Cha mpira tanzania
 
Mimi sina furaha kabisa.

Nitaanza kufurahi makolo wakishuka daraja.
Kushuka daraja huwa ni ngazi kwa ngazi binafsi nilishajua lazima Kuna team Moja ya kariakoo itapaswa kumpisha Azam walijaribu iwe yanga wakakuta ule ni mwamba miaka 4 aligoma kuachia top 2 wenyewe wakasarender kwenda kolo wamesukuma kitu pwaaaa!
 
Miaka hii makolo mkitaka kushuka daraja hatutowanusuru kama 1988.

Tutaawacha mshuke tu mkacheze ligi daraja la kwanza.
1988 unasoma historia au ulishiriki?
Mkuu matatizo ya Simba yanga hata hatuna uhusiano nayo na tuko tayari kuwafundisha namna ya kuendesha team tena nyie hata hampandi gari mnakuja kwa miguu kama shule ya kata
Hamna kitu mkuu, ni suala la majizi kuifadhili timu tu, leo tukimpata tena Mwamba version 2, unadhani mtakuwa na lugha hiyo? Kumbuka;
  • Mengi na Makamba
  • Kutembeza bakuli
  • Misimu 4 mfululizo bila bila
  • Miaka 20+ bila klabu bingwa

Sio jambo mkuu, UFISADI Wa CCM is direct proportional na hayo wanayoyaita mafanikio kwa Yanga.
 
1988 unasoma historia au ulishiriki?

Hamna kitu mkuu, ni suala la majizi kuifadhili timu tu, leo tukimpata tena Mwamba version 2, unadhani mtakuwa na lugha hiyo? Kumbuka;
  • Mengi na Makamba
  • Kutembeza bakuli
  • Misimu 4 mfululizo bila bila
  • Miaka 20+ bila klabu bingwa

Sio jambo mkuu, UFISADI Wa CCM is direct proportional na hayo wanayoyaita mafanikio kwa Yanga.
Basi sawa ila pamoja na bakuli hatukushuka hadi nafasi ya 3
 
Basi sawa ila pamoja na bakuli hatukushuka hadi nafasi ya 3
Kwa mara ya kwanza, Del Bosque anatimuliwa Madrid, alishindwa kubeba ligi ingawa alienda uefa.

Nafasi ya pili au ya tatu kwa huku kwetu haina maana yoyote kama hukuwahi kuwa nafasi ya 3 ila pia nafasi ya pili hiyo haikukupa mafanikio yoyote kwenda klabu bingwa, ni sawa na kuwa na elimu ya msingi ya lazima!

Mafanikio ya pointi za Simba iliipa TZN nafasi ya kupeleka timu mbili, Yanga alibebekea hapo! Ila misimu minne ya Msoga, Yanga hakuweza kuleta nafasi hiyo na hakuwahi kufanya lolote kule.
 
Hamna kitu mkuu, ni suala la majizi kuifadhili timu tu,
Hata hapo ukoloni kumejaa majizi.

Wazee wa ten percent kina Mangungu wakiongozwa na Mudi zee la bilioni ishirini hewa.
Misimu 4 mfululizo bila bila
Lakini hatukugombania nafasi ya 3 na Azam na hatimaye kuikosa kama nyinyi makolo.
 
Kwa mara ya kwanza, Del Bosque anatimuliwa Madrid, alishindwa kubeba ligi ingawa alienda uefa.

Nafasi ya pili au ya tatu kwa huku kwetu haina maana yoyote kama hukuwahi kuwa nafasi ya 3 ila pia nafasi ya pili hiyo haikukupa mafanikio yoyote kwenda klabu bingwa, ni sawa na kuwa na elimu ya msingi ya lazima!

Mafanikio ya pointi za Simba iliipa TZN nafasi ya kupeleka timu mbili, Yanga alibebekea hapo! Ila misimu minne ya Msoga, Yanga hakuweza kuleta nafasi hiyo na hakuwahi kufanya lolote kule.
Simba ndio inapotea mkuu haya na mengine tutaendelea kuyasimulia mkiwa jeuri tunakata wire wa team 4 zibaki mbili tuanze kwenda wenyewe na Azam
 
Kwa mara ya kwanza, Del Bosque anatimuliwa Madrid, alishindwa kubeba ligi ingawa alienda uefa.

Nafasi ya pili au ya tatu kwa huku kwetu haina maana yoyote kama hukuwahi kuwa nafasi ya 3 ila pia nafasi ya pili hiyo haikukupa mafanikio yoyote kwenda klabu bingwa, ni sawa na kuwa na elimu ya msingi ya lazima!

Mafanikio ya pointi za Simba iliipa TZN nafasi ya kupeleka timu mbili, Yanga alibebekea hapo! Ila misimu minne ya Msoga, Yanga hakuweza kuleta nafasi hiyo na hakuwahi kufanya lolote kule.
Mjomba Mimi ni simba damu ila yanga ukiichukia Sasa hivi unapoteza mda wako tu mzee 🤣🤣🤣🤣
 
Sio suala la kukata waya, ni uwezo wa kuvuna pointi hamna!

Matajiri ni wengi kule, kibahasha cha kaki hakifui dafu!
Mjomba simba inapotea hata ukisemaje yanga mwakani wanatupita point za caf sijui unachobisha nini hapo au hujui kama mwakani tunashiriki shirikisho mashabiki kama wewe ndio mnafanya tunaitwa wote mbumbumbu kumbe mpo wachache tu
 
Sio suala la kukata waya, ni uwezo wa kuvuna pointi hamna!

Matajiri ni wengi kule, kibahasha cha kaki hakifui dafu!
Nina mashaka kama msimu ujao mtakuwa mmeweza kutatua changamoto mnazopitia ila ngoja tuone namna mtajitafuta mkiwa championship
 
Mjomba simba inapotea hata ukisemaje yanga mwakani wanatupita point za caf sijui unachobisha nini hapo au hujui kama mwakani tunashiriki shirikisho mashabiki kama wewe ndio mnafanya tunaitwa wote mbumbumbu kumbe mpo wachache tu
Sawa, mbumbumbu ni wewe mwenyewe kabla sijasahau!

Walikuwa na uwezo wa kutupita msimu huu unaoisha, imeshindikana nini?

Kama unaifahamu Manchester United, Lyon, Lille, Bayerleverclusen, BVB, Stuttgart etc, hutoshangaa Simba kupita wanakopita na especially kwenye soccer la TZN lililotawaliwa siasa za kichama.

Mwisho, wewe huna tofauti na mwanachadema mwenye bendera kuuubwa nje inayopepea ila anacho kibendera cha ccm kwenye kimeza cha kitanda chake!
 
Back
Top Bottom