Matukio makubwa mawili wanasoka tumeyashuhudia Tanzania msimu

Matukio makubwa mawili wanasoka tumeyashuhudia Tanzania msimu

Nina mashaka kama msimu ujao mtakuwa mmeweza kutatua changamoto mnazopitia ila ngoja tuone namna mtajitafuta mkiwa championship
Mashaka yangu pia! Kwa mwendo wa Simba sasa, labda misimu miwili ijayo!

Timu ilipoanza kuzama kila mtu aliiona, timu ilipoanza kupoteza ushawishi hakuna ambaye hakuona, timu ilipoanza kukosa wachezaji mbadala na hatimaye hata kukosa kikosi cha kwanza madhubuti, hakuna ambaye hakuona!

Zaidi, mtani akishika dola, anapambana kuizamisha Simba badala ya kuimarisha utawala wa kisoka kimataifa, hivyo ni siasa par se.

Singida, Ihefu n.k ziko kikamilifu kuhakikisha Yanga hafeli, hii ni jeuri ya uwaziri ambapo alipotolewa kitini, kukawa kimya! Msoga na clan yake wakiminywa Yanga inapoteana.
 
Sawa, mbumbumbu ni wewe mwenyewe kabla sijasahau!

Walikuwa na uwezo wa kutupita msimu huu unaoisha, imeshindikana nini?

Kama unaifahamu Manchester United, Lyon, Lille, Bayerleverclusen, BVB, Stuttgart etc, hutoshangaa Simba kupita wanakopita na especially kwenye soccer la TZN lililotawaliwa siasa za kichama.

Mwisho, wewe huna tofauti na mwanachadema mwenye bendera kuuubwa nje inayopepea ila anacho kibendera cha ccm kwenye kimeza cha kitanda chake!
Kweli rage hajakosea Sasa mjomba unaakili timamu kweli afananisha soka la ulaya na Africa yaani Leo hii ufananishe eti kupotea Kwa Manchester united na simba sawa hivi unaakili kweli wewe mwenzio man u anaeongoza makombe EPL pamoja na kupotea kwake je simba anaongoza makombe ya ligi au ndio anazidi kukweka gape tu huna akili nyie ndio mambumbumbu ambao alikua anaongelea rage
 
Mashaka yangu pia! Kwa mwendo wa Simba sasa, labda misimu miwili ijayo!

Timu ilipoanza kuzama kila mtu aliiona, timu ilipoanza kupoteza ushawishi hakuna ambaye hakuona, timu ilipoanza kukosa wachezaji mbadala na hatimaye hata kukosa kikosi cha kwanza madhubuti, hakuna ambaye hakuona!

Zaidi, mtani akishika dola, anapambana kuizamisha Simba badala ya kuimarisha utawala wa kisoka kimataifa, hivyo ni siasa par se.

Singida, Ihefu n.k ziko kikamilifu kuhakikisha Yanga hafeli, hii ni jeuri ya uwaziri ambapo alipotolewa kitini, kukawa kimya! Msoga na clan yake wakiminywa Yanga inapoteana.
Mlipochukua mara nne mfululizo hatukuwalaumu hata kidogo tulijitafuta wenyewe
Conspiracy ya Ihefu sidhani maana kwenda final katupa mechi ngumu sana kama ilivyokuwa kwa Geita lakini Simba pia huchota points kwa Azam na Coastal miaka nenda miaka rudi
 
Mashaka yangu pia! Kwa mwendo wa Simba sasa, labda misimu miwili ijayo!

Timu ilipoanza kuzama kila mtu aliiona, timu ilipoanza kupoteza ushawishi hakuna ambaye hakuona, timu ilipoanza kukosa wachezaji mbadala na hatimaye hata kukosa kikosi cha kwanza madhubuti, hakuna ambaye hakuona!

Zaidi, mtani akishika dola, anapambana kuizamisha Simba badala ya kuimarisha utawala wa kisoka kimataifa, hivyo ni siasa par se.

Singida, Ihefu n.k ziko kikamilifu kuhakikisha Yanga hafeli, hii ni jeuri ya uwaziri ambapo alipotolewa kitini, kukawa kimya! Msoga na clan yake wakiminywa Yanga inapoteana.
Yaani mo try again mangungu wakisikia kama hivi ndio huwa wanafurahi sanaa hahaha eti simba anakwamishwa Kwa kikosi Gani mzee au mpira unaangaliaga dunia nyingine hivi kweli Kuna mtu anamkwamisha jobe kufunga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kweli rage hajakosea Sasa mjomba unaakili timamu kweli u afananisha soka la ulaya na Africa yaani Leo hii ufananishe eti kupotea Kwa Manchester united na simba sawa hivi unaakili kweli wewe mwenzio man u anaeongoza makombe EPL pamoja na kupotea kwake je simba anaongoza makombe ya ligi au ndio anazidi kukweka gape tu huna akili nyie ndio mambumbumbu ambao alikua anaongelea rage
Kama wewe ni rika langu basi utakubaliana sisi wote hatuna akili, vitu kama;
  • Kilimo cha kahawa Brazili
  • Kilimo cha mpira Malaysia
  • Uvuvi wa scandinavia
  • Mapinduzi kiuchumi ulaya
  • Uhuru wa nchi nyingine
N.k
Havikupaswa kuwa kichwa chako.

Na kama ujuavyo, mchezo wa mpira wa miguu ulianzia Tanganyika, nakubaliana na wewe kuwa hakuna cha kufananisha!

Bila kuwasahau wanasheria wetu wanaolinganisha kesi za ulaya na huku kwetu.

Asante kwa kunifumbua macho, sina la ziada.
 
Kama wewe ni rika langu basi utakubaliana sisi wote hatuna akili, vitu kama;
  • Kilimo cha kahawa Brazili
  • Kilimo cha mpira Malaysia
  • Uvuvi wa scandinavia
  • Mapinduzi kiuchumi ulaya
  • Uhuru wa nchi nyingine
N.k
Havikupaswa kuwa kichwa chako.

Na kama ujuavyo, mchezo wa mpira wa miguu ulianzia Tanganyika, nakubaliana na wewe kuwa hakuna cha kufananisha!

Bila kuwasahau wanasheria wetu wanaolinganisha kesi za ulaya na huku kwetu.

Asante kwa kunifumbua macho, sina la ziada.
Mbumbumbu katika ubora wako hahahaha dah tunasafari ndefu sana pale simba kumbe Kuna mashabiki wanaichukulia Hali ya simba kushika namba 3 Tanzania hii ni ya kawaida hahahaha kweli injinia hersi atatunyoosha sanaa kama alivyosema 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa mara ya kwanza, Del Bosque anatimuliwa Madrid, alishindwa kubeba ligi ingawa alienda uefa.

Nafasi ya pili au ya tatu kwa huku kwetu haina maana yoyote kama hukuwahi kuwa nafasi ya 3 ila pia nafasi ya pili hiyo haikukupa mafanikio yoyote kwenda klabu bingwa, ni sawa na kuwa na elimu ya msingi ya lazima!

Mafanikio ya pointi za Simba iliipa TZN nafasi ya kupeleka timu mbili, Yanga alibebekea hapo! Ila misimu minne ya Msoga, Yanga hakuweza kuleta nafasi hiyo na hakuwahi kufanya lolote kule.
Mkuu unaweza kuwa uko sahihi ila uwasil8shaji wako unaashiria mapenzi yanakupa upofu. Kitendo cha kuamini wewe unashinda kihalali Yanga anashinda kwa bahasha hiyo ni ishara tosha una akili timamu ila unashindwa kutuhakikishia utimamu wake.

Usijisifu kqenye hamna ndugu. Miaka ambayo mnashiriki CAF CL mlikua mnaishia robo ndio ikawa kichaka chenu sasa Yanga akaja akafyeka na isingekua mambo yao wale Yanga msimu angepita mpaka nusu kama sio fainali. Sasa mnatapa tapa na kauli za bahasha SMH!
 
CAF CL mlikua mnaishia robo ndio ikawa kichaka chenu sasa Yanga akaja akafyeka na isingekua mambo yao wale Yanga msimu angepita mpaka nusu kama sio fainali.
Kwa sasa nitaishia hapo, vyovyote itakavyokuwa ni kuwa Yanga aliishia robo...ukibisha basi tukubaliane mechi sita kwenye ligi, Yanga kapewa(ikiwepo na Ihefu), bila hivyo angeishia nafasi ya nne huko!

Utimamu unazungumzia?
Ushindi halali unazungumzia?

Mdhamini na mwenye jukumu la usajili Yanga, aliwahi kuingia mkataba na TFF wa 2.2bn, na ikasemwa ni marufuku kuujadili, wakijua fika sheria za ligi zinapinga, unadhani lengo lilikuwa ni nini labda?
 
Mjomba simba inapotea hata ukisemaje yanga mwakani wanatupita point za caf sijui unachobisha nini hapo au hujui kama mwakani tunashiriki shirikisho mashabiki kama wewe ndio mnafanya tunaitwa wote mbumbumbu kumbe mpo wachache tu
Ahaaaaa

Bora umemwambia
 
Kwa sasa nitaishia hapo, vyovyote itakavyokuwa ni kuwa Yanga aliishia robo...ukibisha basi tukubaliane mechi sita kwenye ligi, Yanga kapewa(ikiwepo na Ihefu), bila hivyo angeishia nafasi ya nne huko!

Utimamu unazungumzia?
Ushindi halali unazungumzia?

Mdhamini na mwenye jukumu la usajili Yanga, aliwahi kuingia mkataba na TFF wa 2.2bn, na ikasemwa ni marufuku kuujadili, wakijua fika sheria za ligi zinapinga, unadhani lengo lilikuwa ni nini labda?
Kama mawazo haya ndio mawazo ya viongozi hata wawili tu wa Simba, nakuhakikishia utabiri wa Manara unaenda kutimia yaani Ubingwa mara 10 mfululizo na kuwa team ya kwanza kuleta CAF Trophy hapa nchini.
 
Mjomba simba inapotea hata ukisemaje yanga mwakani wanatupita point za caf sijui unachobisha nini hapo au hujui kama mwakani tunashiriki shirikisho mashabiki kama wewe ndio mnafanya tunaitwa wote mbumbumbu kumbe mpo wachache tu
Mangungu anafurahi kuwa na mashabiki kama jamaa
 
Mkuu unaweza kuwa uko sahihi ila uwasil8shaji wako unaashiria mapenzi yanakupa upofu. Kitendo cha kuamini wewe unashinda kihalali Yanga anashinda kwa bahasha hiyo ni ishara tosha una akili timamu ila unashindwa kutuhakikishia utimamu wake.

Usijisifu kqenye hamna ndugu. Miaka ambayo mnashiriki CAF CL mlikua mnaishia robo ndio ikawa kichaka chenu sasa Yanga akaja akafyeka na isingekua mambo yao wale Yanga msimu angepita mpaka nusu kama sio fainali. Sasa mnatapa tapa na kauli za bahasha SMH!
Kuna kitu yanga wanacho Simba hawana msimu huu na Azam ndio wameamua kukiiga
BIDII NA NGUVU yanga ni wanaforce hadi dk ya mwisho refer mechi ya jana
 
Mashaka yangu pia! Kwa mwendo wa Simba sasa, labda misimu miwili ijayo!

Timu ilipoanza kuzama kila mtu aliiona, timu ilipoanza kupoteza ushawishi hakuna ambaye hakuona, timu ilipoanza kukosa wachezaji mbadala na hatimaye hata kukosa kikosi cha kwanza madhubuti, hakuna ambaye hakuona!

Zaidi, mtani akishika dola, anapambana kuizamisha Simba badala ya kuimarisha utawala wa kisoka kimataifa, hivyo ni siasa par se.

Singida, Ihefu n.k ziko kikamilifu kuhakikisha Yanga hafeli, hii ni jeuri ya uwaziri ambapo alipotolewa kitini, kukawa kimya! Msoga na clan yake wakiminywa Yanga inapoteana.
Lawama zote kwa John. Mangungu akisoma comments kama hizi anapata amani sana. Hamuwezi kutatua matatizo yako kwa kuwanyoshea vidole wengine, jiangalie kwanza mwenyewe wapi umekosea?
 
Kama mawazo haya ndio mawazo ya viongozi hata wawili tu wa Simba, nakuhakikishia utabiri wa Manara unaenda kutimia yaani Ubingwa mara 10 mfululizo na kuwa team ya kwanza kuleta CAF Trophy hapa nchini.
Ukimuacha Manara aliyesema, timamu wako wawili tu Yanga pale, kuna Msoga lead alisema, ujanja wa Yanga unaishia ndani tu....
 
Ukimuacha Manara aliyesema, timamu wako wawili tu Yanga pale, kuna Msoga lead alisema, ujanja wa Yanga unaishia ndani tu....
Sawa kama watu timamu yanga wako wawili basi simba hata mmoja hamna wendawazimu wanashinda 5-1 huyo aliyefungwa 5 sijui tumuitaje🤣🤣🤣🤣
 
Kwa sasa nitaishia hapo, vyovyote itakavyokuwa ni kuwa Yanga aliishia robo...ukibisha basi tukubaliane mechi sita kwenye ligi, Yanga kapewa(ikiwepo na Ihefu), bila hivyo angeishia nafasi ya nne
Ukisema kuhusu kupewa fafanua zaidi. Alipewa kwa maana gani? Ili iweje? Katika mazingira gani? Nani alihusika kumpa? Je Yanga alipewa peke yake katika muktadha utakaouzungumzia wewe?
 
Sawa, mbumbumbu ni wewe mwenyewe kabla sijasahau!

Walikuwa na uwezo wa kutupita msimu huu unaoisha, imeshindikana nini?

Kama unaifahamu Manchester United, Lyon, Lille, Bayerleverclusen, BVB, Stuttgart etc, hutoshangaa Simba kupita wanakopita na especially kwenye soccer la TZN lililotawaliwa siasa za kichama.

Mwisho, wewe huna tofauti na mwanachadema mwenye bendera kuuubwa nje inayopepea ila anacho kibendera cha ccm kwenye kimeza cha kitanda chake!
Jinyonge tu upumzike kwa amani kuliko kupitia maumivu makali Makolokolo Mtani wangu 😂

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom