Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Ifakara CDM
wameishatangaza usiku jana!

Ifakara ipo ndani ya jimbo la kilombero mbunge mteule ni Peter Lijualikali -CDM.

Jimbo jingine ni Mlimba, linapakana na Ifakara, Mbunge mteule ni Susan Kiwanga CDM
 
DSC01771.jpg
 
Kwa ayo majimbo 25 kati ya 260+


MNA tatizo nyie
 
1. Moshi Mjini -CDM
2. Moshi vijijini-CDM
3. Rombo-CDM
4. Same Mashariki- CDM
5. Hai -CDM
6. Siha- CDM
7. Vunjo -NCCR
8. Arumeri Mashariki-CDM
9. Monduli-CDM
10. Simanjiro- CDM
11.Karatu -CDM
12. Kawe-CDM
13. Ubungo- CDM
14. Kibamba- CDM
15. Mbeya Mjini- CDM
16. Iringa Mjini - CDM
17. Bunda-CDM
18. Tarime Mjini- CDM
19.Tarime Vijijini- CDM
20. Rorya -CDM
21. Serengeti- CDM
22. Singida Mashariki-CDM
23. Mtwara mjini-CUF
24.Ndanda-CDM
25.Ukonga-CDM
26. Babati-CDM
27. Bukoba mjini-CDM
28. Kyerwa-CDM
29. Tandahimba-CUF
30. Tunduma-CDM
31. Momba-CDM
32.lupembe-CDM
33. Kyera-CDM
34. Tanga mjini -CUF
35. Mbalali-CDM
36.Mikumi-CDM
37. Kigamboni-CUF
38. Babati vijijini-CDM
39. Kigoma mjini-ACT
40. Kibondo kwa Chiza-CDM
40. Mchinga-CUF
41.Kirombero-CDM
42. Ifakara-CDM
43. Mlimba-CDM
44. Kariuwa -CUF
45.Mbulu-CDM
 
Mahatma Gandhi katika kitabu chake kiitwacho, The Story of My Experiments With Truth akiwahi kuandika, ''The seeker after truth should be humbler than the dust. The world crushes the dust under its feet, but the seeker after truth should so humble himself that even the dust could crush him. Only then, and not till then, will he have a glimpse of truth''.

Being humble is one of the most important qualities of leadership!

Kuna viongozi wengi tu nchini ambao historia yao katika kulitumikia taifa haina madoa lakini kwa vile walikuwa wanyenyekevu kwa wananchi wao, hawakutaka kukubali kubebwa kama hawa viongozi wetu.

Nilipoziona hizi picha zilinipa maswali mengi sana kuhusu aina ya fikra za viongozi wetu wa kesho nchini. Sikufahamu pia kama kuna watanzania wengi ambao wana uwezo wa kuangalia, kuchuja na kutoa haki kulingana tabia, mwenendo na utendaji wa viongozi wetu.

Picha kama hizi nilikuwa ninaziona wakati wa wakoloni, wafalme wa kale na kwenye utawala wa Idd Amin nchini Uganda. Historia inatuambia viongozi wa aina hii walipotea kisiasa haraka sana!

Inadhihirisha Wananchi wapiga kura wengi hawakupendezwa na aina hii ya viongozi (Wenje & Lembeli) ndiyo maana wameamua kwa haraka kuwastaafisha kisiasa kupitia sanduku la kura.

Kwa fikra hizi ndiyo maana Maandiko ya Mungu yalikemea na kusema, ''ajikwezae hushushwa na ajishushae hukwezwa."

CSQGrYJWwAAkWdB.jpg

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama, James Lembeli akiwa amebebwa kama walivyokuwa wanafanya enzi za wakoloni.
wenje.jpg

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Ezekiel Wenje akiwa amebebwa kama alivyokuwa anafanya Idd Amin
lembeli alijidai yeye ni ukoo wa chief kwa hiyo ndio hiyo mentality ya kubebwa kama idd amin. hii kitu watu kujiita chief na kukubalika sio dalili nzuri. nyerere alizika uchifu lakini sasa kuna dalili ya uchifu kujifufua. watu tukatae hata mtu kujiita chief kwa sababu ni kichocheo cha utamaduni wa kuridhishana madaraka.
 
Lembeli alimkimbia kishimba kura za maoni CCM,kamkuta kwenye uchaguzi mkuu na kachinjiliwa mbali
 
Wewe uliye bandika hilo karatasi hapo juu utakuwa unasumbuliwa na homa ya "manjano"
 

  1. Arumeru Mashariki ? Joshua Nassari CHADEMA
  2. Babati Mjini ? Pauline Gekul CHADEMA
  3. Bukoba Mjini ? Lwakatare Wilfred Mugyanyizi CHADEMA
  4. Bunda Mjini- Esther Bulaya ? CHADEMA
  5. Hai -Freeman Mbowe CHADEMA
  6. Iringa Mjini ? Peter Msigwa CHADEMA
  7. Kigoma Mjini ? Zitto Kabwe ACT
  8. Mbeya Mjini- Joseph Mbilinyi CHADEMA
  9. Mchinga- Hashim Hassan Bobali CUF
  10. Monduli ? Julius Kalanga CHADEMA
  11. Moshi Vijijini ? Anthony Calist Komu CHADEMA
  12. Moshi Mjini- Jaffary Michael ?CHADEMA
  13. Mtwara Mjini - Maftaha Abdallah Nachuma CUF
  14. Ndanda- Cecil Mwambe CHADEMA
  15. Rombo- Joseph Selasini CHADEMA
  16. Same Magharibi- Livinston N Kaboyoka CHADEMA
  17. Serengeti - Chacha Marwa Ryoba ? CHADEMA
  18. Siha - Dr. Godwin Mollel CHADEMA
  19. Singida Mashariki ? Tundu Lissu CHADEMA
  20. Tandahimba- Ahmed Katani CUF
  21. Tanga Mjini ? Musa Bakari Mbarouk CUF
  22. Tarime Mjini - Esther Matiko CHADEMA
  23. Tarime Vijijini ? Heche john CHADEMA
  24. Tunduma ? Mwakajoka Frank CHADEMA
  25. Vunjo ? James Mbatia NCCR-MAGEUZI
 
Leta jimbo lako na matokeo yake tunataka kuweka record sawa JF ina watu nchi nzima tuwe wakwanza toa taarifa sahihi
 
Back
Top Bottom