Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Unaonaje Ukituwekea Pia Na Ya CCM Tena Ukianzia Na Ya Urais Hadi Ktk Mtiririko Wako Huo?

Hiyo inaonyesha jinsi gani nyie ni overall losers so far,hapo ni zaidi ya 90% yalikua majimbo yenu au ni majimbo mapya yote mmepoteza.
 
Baada ya magwiji wa siasa za upinzania Augustino Mrema na Momose Cheyo kushinda kurudi bungeni, nafasi zao sasa zitachukuliwa rasmi na Zitto Zuberi Kabwe.
Mkuu, ACT imeshinda majimbo mangapi ? Hao hawakuwa Wapinzani bali Mamluki.
 
1. Moshi Mjini -CDM
2. Moshi vijijini-CDM
3. Rombo-CDM
4. Same Mashariki- CDM
5. Hai -CDM
6. Siha- CDM
7. Vunjo -NCCR
8. Arumeri Mashariki-CDM
9. Monduli-CDM
10. Simanjiro- CDM
11.Karatu -CDM
12. Kawe-CDM
13. Ubungo- CDM
14. Kibamba- CDM
15. Mbeya Mjini- CDM
16. Iringa Mjini - CDM
17. Bunda-CDM
18. Tarime Mjini- CDM
19.Tarime Vijijini- CDM
20. Rorya -CDM
21. Serengeti- CDM
22. Singida Mashariki-CDM
23. Mtwara mjini-CUF
24.Ndanda-CDM
25.Ukonga-CDM
26. Babati-CDM
27. Bukoba mjini-CDM
28. Kyerwa-CDM
29. Tandahimba-CUF
30. Tunduma-CDM
31. Momba-CDM
32.lupembe-CDM
33. Kyera-CDM
34. Tanga mjini -CUF
35. Mbalali-CDM
36.Mikumi-CDM
37. Kigamboni-CUF
38. Babati vijijini-CDM
39. Kigoma mjini-ACT
40. Kibondo kwa Chiza-CDM
40. Mchinga-CUF
41.Kirombero-CDM
42. Ifakara-CDM
43. Mlimba-CDM
44. Kariuwa -CUF
45.Mbulu-CDM

Namba 42 mkuu Fanya editing. Hamna jumbo LA ifakara. Kuna kilombero ambalo mbunge mteule Peter Lijualikali
 
Kwa mara ya kwanza tangu kupata uhuru nchi yetu imeonekana kwenye vyombo vya kimataifa,kwa mara ya kwanza Afrika na Dunia imeongea kuhusu Tanzania
Baba kazi uliyofanya kwa kujitolea ni kubwa kuliko hata ya Urais,japo bado tunasubiri matokeo lakini hata kama ukishindwa umefanya kazi kubwa sana ya kutangaza mchi yetu kwa mara ya kwanza tangu uhuru,
mimi nimefarijika baada ya kuona vyombo vya kimataifa kama CNN wakisema ni uchaguzi wa century haujawahi kutokea
umeongeza ushawishi na ari kubwa ya kupiga kura na kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu tumejitokeza 77% ukilinganisha na 33% iliyojitokeza 2010
Baba tunakupenda na kazi uliyofanya tutaiheshimu milele hata kama hatutashinda!



yes ni kweli kabisa, binafsi naamini huyu mzee kashinda, au ni 50 by 50
 
Lowassa Akiingia Madarakani Jambo la kwanza TBC Iangaliwe Upya Kwa Kuwapumzisha Baadhi ya watendaji. Its shame

Kuona TV ya Taifa Ikionyesha Katuni...Duuh!!! Only in Tanzania.

Ha ha eyi lowassa akiingia madarakani,madaraka gani labda ya kuwa mwkt wa chagadema
 
Hamna haja ya kulaumiwa kwa vyombo vya habari eti wanaonyesha pacha zq watu wanapigwa, yes ni Nzuriii Ili watz waone ni kwa jinsi gani NEC wanavyochelewesha matokeo wanaadhiri Hali ya amani Tanzania.
 
Kwa nini hawatamgazi majimbo ya kawe na mengine ya dsm? Wanataka kuiba?
NEC ya ccm tutegemee haki itendeke?
Ccm ni kama mkoloni au kaburu hawezi kutoka kirahisi. I m telling you

Dar hakuna anayekubali kushindwa kirahisi na matokeo ya Ubunge yana impact kubwa sana kwenye kura za urais
 
Bila Kusahau Kwamba MWANAMUME Dr. MAGUFULI Anawatimulia Tu Vumbi. Yaani Naisubiri Kwa Hamu Sana Alhamisi Saa 3 Asubuhi Labda Nife Leo Hii!

Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu hutakufa ndg, ila endelea kumuomba Mungu upate kuishudia hiyo siku na nyingine nyingi zaidi.
 
Hamna haja ya kulaumiwa kwa vyombo vya habari eti wanaonyesha pacha zq watu wanapigwa, yes ni Nzuriii Ili watz waone ni kwa jinsi gani NEC wanavyochelewesha matokeo wanaadhiri Hali ya amani Tanzania.

Matatizo mengine watu wanajitakia.Kalale waachie mawakala na wagombea wayamalize.Kinachokupeleka kituo cha kuhesabu kura ni nini? Wakati wewe si wakala wala mgombea? Si uendelee na shughuli zako? Au wewe ni wale wasio na cha kufanya kazi kuponea tuhela twa wagombea?
 
Bila Kusahau Kwamba MWANAMUME Dr. MAGUFULI Anawatimulia Tu Vumbi. Yaani Naisubiri Kwa Hamu Sana Alhamisi Saa 3 Asubuhi Labda Nife Leo Hii!

yaani mkuu hunifikii mimi kwa jinsi navyosubiri...nilitukanwa majina yote hadi nikaitwa shoga mse.nge kwa kumpigia debe magufuli...Mungu amejibu maombi ya wengi wema....na siku ya kuapishwa lazima nitie timu taifa.....kuna kitu cha kipekee ambacho sijawahi fanya itabidi nifanye
 
Back
Top Bottom