Nikiwa live katika redio chuchufm, wananchi wakilalamika kwa matendo ya sheha baada ya kumaliza kupiga kura kuwepo nje ya kituo, wakati huo huo kazi yake kuonesha vidole kwa jeshi la Polisi kuwakamata vijana na kuchukuliwa, hali hio mawakala hawakuridhika kwa sababu sheha sio kazi yake kutoa maelekezo yoyote katika Kituo wala haruhusiki kuwepo kwa mita 200.
Jengine tayari washaataarishwa vikosi kuja kupiga kura, hayo yameelewa na mtendaji mmoja wa chama ambae aliwapelekea chakula mawakala wake.
Ccm na sheha na police hio ndio mikakati yao kuvuruga uchaguzi
Eneo mtopepo. Kidatu