Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Jamani tuseme ukweli kasoro zipo kama segerea. Kama yule dada wa segerea alijitoa utamlaumu vipi??
CUF WAMEPATA MAJIMBO 23 mpaka sasa huoni kama ni faida sana kuwa ukawa
CHADEMA 35 na isingekuwa kanda ya ziwa kuitosa CDM cdm wangekuwa hata na wabunge hata 60
UKAWA IMESAIDIA MNO TUSIBEZE KIRAHISI
Faida zipo na hasara zipo ila faida inaonekana jamani.
Uwepo wa LOWASA umesaidia pia tusibeze...kabisa
Watz wamejitahd sema magoli ya maradona.
Cha Msingi jamaa wamesha tuzidi Ujanja hakuna jinsi Wamuapishe tu Magufuli