SILVANUS MUMBA
Senior Member
- Aug 22, 2015
- 149
- 55
Jmn wanzibar ni wavivu kutoa updates zao cjui kwa nn
Elisabella sio wavivu Maalim Ameshinda Sasa Wanakosa mbinu ya kumwambia Mkulungwa AANZE kufunga Vilago IKULU Zanzibar ili watu wawahi vyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jmn wanzibar ni wavivu kutoa updates zao cjui kwa nn
Makamanda mpooo naona sumu mlizomezeshwa zinaisha taratibu mwilini tulieni dawa iingie vizuri@hapaKaziTu
Alinselema ....
Selema selema...
Tanzania oyee
Mwanza oyee
Shinyanga oyee
Geita oyee
Simiyu oyee
Kagera oyee
Morogoro oyee
Manyara oyee
Dodoma oyee
Singida oyee
Tanga oyee
Tabora oyee
Kigoma oyee
Ruvuma oyee
Katavi oyee
Mbeya oyee
Musoma oyee
Iringa oyee
Musoma oyee
Dar oyee
Zanzibar oyee
Pwani oyee
CCM OYEE
Tanzania oyeee!
Na hiyo ndio Tanzania ya Magufuli
Hebu imba kwa sauti ya Magufuli!
Alinselema ....
Selema selema...
Tanzania oyee
Mwanza oyee
Shinyanga oyee
Geita oyee
Simiyu oyee
Kagera oyee
Morogoro oyee
Manyara oyee
Dodoma oyee
Singida oyee
Tanga oyee
Tabora oyee
Kigoma oyee
Ruvuma oyee
Katavi oyee
Mbeya oyee
Musoma oyee
Iringa oyee
Musoma oyee
Dar oyee
Zanzibar oyee
Pwani oyee
CCM OYEE
Tanzania oyeee!
Na hiyo ndio Tanzania ya Magufuli
Hebu imba kwa sauti ya Magufuli![/QUOTE
Tanzania ya Magufuli oyeeee. Wameisoma namba
ha ha haaaa ha ha ARUSHA NA KILIMANJARO MNAZIOGOPA
ha ha haaaa ha ha ARUSHA NA KILIMANJARO MNAZIOGOPA
Anamaanisha majimbo ya ubunge (wabunge)No...ni majimbo 113 tu yaliotangazwa...!!! Sio 213...!!! Nadhani umekosea ktk typing...!!!
So bado majimbo 151...!!!
Acha uchochezi matokeo ya mijini ambapo bodaboda ni wengi kama vile dar tanga mjini mbeya mjini mwanza hayajatangazwaBoda boda ambao ulikuwa mtaji wetu mkuu hawakupiga kura siku hiyo, walikuwa busy kuleta watu kupiga kura na kuwarudisha majumbani kwao, na siku hiyo ilikuwa siku ya biashara sana kwao.
Kuna dogo mtaani anasema alimake kama 160,000/- siku hiyo tu, so akaona siyo issue kupiga kura uache fedha.
Urais: Magu FULL John Pombe 2,480,614(57.25%) LOW assa 1, 777, 010(41.01%) Tofauti ya 703604.
Ubunge: Jumla ya majimbo yaliyotangazwa ni 213, CCM viti 153 CHADEMA viti 35 CUF viti 23, ACT-WAZALENDO 1, NCCR-MAGEUZI 1.
Tofauti ya Viti vya CCM na vyama vya Upinzani ni 153-60=93.
Kwa taarifa zaidi fuatilia AZAM TV STATION TWO LIVE.