Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Ccm hushinda kwa:\
1. WIZI WA KURA
2. UZEMBE WA WATZ
3. UZEMBE WA UPINZANI.

Tukubaliane kuwa sababu kubwa ya ccm kushinda huwa ni WIZI WA KURA
 
UKAWA.... UKAWA... UKAWA..!!

MAJIMBO 3 ya Dar, Ilala, Segerea, na Kigamboni... ambazo zimeenda CCM, ni kosa la UKAWA... wamesimamisha wagombea wawili wawili, na wagombea kukaidi MAKUBALIANO YA UKAWA...!!

Mfano Kigamboni...Lucy, CDM alipendekezwa na UKAWA...Ila mgombea wa CUF akakomaa.. ana Mgombea wa CCM, ameshinda kwa kura kidogo tu, so mgombea wa CUF angetii AMRI ya UKAWA.. LUCY angeshinda..!!!

Hivyo hivyo... SEGEREA... MTATIRO WA CUF.. angeshinda, ndio kapendekezwa na UKAWA... ila DADA WA CDM kakataa kutoa ushirikiano..
na Mtatiro kashindwa kidogo sana na BONA wa CCM... ungeunganisha kura zao za UKAWA...MTATIRO angekuwa mbunge wa Segerea...!!! Nasikia mgombea wa CDM anatropia alitumika na CCM... kugawa kura..!!

Vile vile, mgombea wa ILALA... Hassanali CDM, angeshinda....ila Mgombea wa CUF alikaidi AMRI YA UKAWA..hivyo Zungu, CCM kashinda kwa kura chache sana sanaaaa...!!!

Na kwingineko nchini... UKAWA wanatakiwa watoe ADHABU kwa wale WAGOMBEA AMBAO WAMEKAIDI na kusababisha kukosa USHINDI...!!!

UKAWA ni ya KUIMARISHA ZAIDI...!!!

Umenena vema kiongozi! Wasaliti waliokiuka wote wawajibishwe!
 
UKAWA.... UKAWA... UKAWA..!!

MAJIMBO 3 ya Dar, Ilala, Segerea, na Kigamboni... ambazo zimeenda CCM, ni kosa la UKAWA... wamesimamisha wagombea wawili wawili, na wagombea kukaidi MAKUBALIANO YA UKAWA...!!

Mfano Kigamboni...Lucy, CDM alipendekezwa na UKAWA...Ila mgombea wa CUF akakomaa.. ana Mgombea wa CCM, ameshinda kwa kura kidogo tu, so mgombea wa CUF angetii AMRI ya UKAWA.. LUCY angeshinda..!!!

Hivyo hivyo... SEGEREA... MTATIRO WA CUF.. angeshinda, ndio kapendekezwa na UKAWA... ila DADA WA CDM kakataa kutoa ushirikiano..
na Mtatiro kashindwa kidogo sana na BONA wa CCM... ungeunganisha kura zao za UKAWA...MTATIRO angekuwa mbunge wa Segerea...!!! Nasikia mgombea wa CDM anatropia alitumika na CCM... kugawa kura..!!

Vile vile, mgombea wa ILALA... Hassanali CDM, angeshinda....ila Mgombea wa CUF alikaidi AMRI YA UKAWA..hivyo Zungu, CCM kashinda kwa kura chache sana sanaaaa...!!!

Na kwingineko nchini... UKAWA wanatakiwa watoe ADHABU kwa wale WAGOMBEA AMBAO WAMEKAIDI na kusababisha kukosa USHINDI...!!!

UKAWA ni ya KUIMARISHA ZAIDI...!!!

Strategy yenu ni nzuri - Mjitahidi Twenty Twenty (2020) muwe Chama Kimoja tu - ili msipate taabu ya kujiita Umoja wa nini na nini sijui. Nawachagulia jina la Chama kabisa - Muwe CHACUNL (CHADEMA, CUF na NLD) - Mnaweza kuanza kukisajili Chama Mapema ili msichelewe.
 
Wana UKAWA ambao bado tupo katika kipindi kigumu kama hiki kipindi ambacho tunachanganywa kisaikolojia kuna baadhi ya watu wameshakata tamaa na kusahau suala la ushindi ukawa
kuna watu kama 30 wananilaumu niliwashawishi wampigie kura lowasa na walifanya hivyo sasa wanasema kura yao imepotea mi nawaambia hawajapoteza kitu (NEVER GIVE UP) kwa mwana-UKAWA yoyote kaa ukijua hutakiwi kukata tamaa hadi hatua ya mwisho sipendi wasaliti ambao wanakata tamaa mapema tuungane kwa pamoja kuonyesha kuwa hatujaathirika na njama zao NEC-CCM twende na umoja wetu tumpeleke LOWASSA ikulu kama umekata tamaa sema kabisa tukuchuje
.....ALUTA CONTINUA.....
 
MATOKEO YA URAIS
MATOKEO YA URAIS

Majimbo 81 / 264 | Matokeo ya awali yaliotolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC)
JohnMagufuli.png
1,541,420 Votes 56.51 %​
voter.png

John Magufuli - CCM



tanzania-flag.png
EdwardLowassa.png
1,136,602 Votes (41.67 %)
voter.png

Edward Lowassa - CHADEMA



source: http://www.mwananchi.co.tz/matokeo2015-/-/2930342/2930342/-/qxu13p/-/index.html




 
wanajitahidi sana kupindisha matokeo lakini wanashindwa kulifikia gape ambalo LOWASA AMEMUACHA MAGUFULI, SASA TUENDELEE KUVUTA SUBIRA.

Ila mimi naamini Mungu ataudhihilishia ulimwengu kuwa Tanzania ni ya Watanzania na Sio ya CCM, kwasababu soon LOWASA atatangazwa kuwa Raisi wa Tanzania na Jeuri yao kuishia hapo, mimi naamini kabisa, Tulianza na Mungu na Sasa Mungu ndiye anaisimamia haki ya Watanzania, huku wakijaribu kuzuia hila zozote zinazo weza kufanywa na CCM katika kura za URAISI.

tuute Subira na sasa Maajabu yatafanyika, tusivunje amani ili tupate Tuzo ya AMani, kwani Dunia Nzima inatutazama na inajua kuwa CCM imepigwa chini kwa kura nyingi sana, Umoja wa Mataifa wanajua, DW wanajua BBC wanajua na vyombo vya habari vingine na hata wenyewe CCM wanajua mwaka huu Maajabu yatatendeka.

naungana nawewe kabisa mkuu kura bado nyingi sana na ukawa tutashinda tu tusikate tamaa
 
MATOKEO YA URAIS
MATOKEO YA URAIS

Majimbo 81 / 264 | Matokeo ya awali yaliotolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC)
JohnMagufuli.png
1,541,420 Votes 56.51 %​
voter.png

John Magufuli - CCM



tanzania-flag.png
EdwardLowassa.png
1,136,602 Votes (41.67 %)
voter.png

Edward Lowassa - CHADEMA



source: Matokeo 2015 | Mwananchi







Yaani Jimbo tu la TEMEKE, KIGAMBONI, MBAGALA tu..ukiacha majimbo mengine ya DAR... hizo 400,000 Lowassa anafunga hiyo gap...!!!

Naona ushindi bado UPO... UPOO...!!!

Aisee... sbb Jimbo la KIGAMBONI, TEMEKE NA MBAGALA, Lowassa atazoa more than 400,000 votes... sasa hilo gap atafunika haraka sana sana...!!!

Ngoma ipo upande wetu...!!! Sbb mostly wametangaza NGOME ZA CCM...!!!

NGOME ZA CCM ndio zimetangazwa sana sanaaa...!!!

Hapa nimepata matumaini sana sanaaaaaa...!!
 
Watanzania tuendelee kuona Maajabu ya Mungu Peter Msigwa katangazwa Mshindi Baada ya Figisufigisu ya Tokea Jana na Mabomu ya Machozi matumizi ya nguvu yasiyo na lazima pia

Mwisho wa siku Mwakalebela kaangukia sikio
 
Back
Top Bottom