Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda mpooo naona sumu mlizomezeshwa zinaisha taratibu mwilini tulieni dawa iingie vizuri@hapaKaziTu
roho inaniuma sana watanzania wezangu.kuna tunaonewa na ccm miaka yote.kweli naamini ccm wapo Tayari kuuwa wananchi wake laini siyo kuachia madaraka ya nchi.
Magufuli hawezi kusbinda
Kupata kichekesho hivi piga namba 15557
wale wame elimika nilikuwa nasikia kura za majimbo kadhaa kulikuwa hamna kura zilizo haribika kabisa jambo linalo ashiria watu wanajua wanalolifanya huku bara unashangaa kura 3000 eti zimeharibika yani hawakumpa rungwe, wala mama Anna bali zimeharibika. mtu anaacha shyghuli zake anaacha mji wake anajipanga mstari saa nyingine hata masaa 2 afu ana haribu kura si uendawazimu huu