Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Yaani kwa ujumla inauma mno kwa wapenda mabadiliko kwa namna majimbo kama hayo ya Ilala, Segerea, Kigamboni na lile jimbo la Nyamagana la jijini Mwanza, ambapo majimbo yote hayo yalikiuka makubaliano ya Ukawa ambapo waliweka wagombea wawili kwa kila jimbo wa vyama vya Chadema na CUF.

Kwa hesabu zilizotolewa na NEC kuhusu ushindi wa wagombea hao wa CCM, ambao wote wamepata ushindi wa kiduchu, ni dhahiri kwa sasa Ukawa wangekuwa na plus 4 ya idadi waliyo nayo ya idadi ya wabunge.

Yote hiyo inatokana na hao wagombea kuweka mbele ubinafsi badala ya kuweka mbele maslahi ya kutaka mabadilko nchini.

Vivyo hivyo hao wagombea waliogomea makubaliano hayo ni wasaliti wakubwa wa Umma wa watanzania waliojitokeza kwa wingi mno siku ya kupiga kura kwa ajili ya kutaka mabadiliko.

Hata hivyo kuna harufu ya mchezo mchafu ambao unadaiwa kuchezwa na CCM ya kuwashawishi na 'kuwajaza' manoti wagombea hao ili wakomae na waendelee kugombea ili wazigawe kura za upinzani na kuwafanya wagombea wa CCM washinde kiulaini.
 
UKAWA.... UKAWA... UKAWA..!!

MAJIMBO 3 ya Dar, Ilala, Segerea, na Kigamboni... ambazo zimeenda CCM, ni kosa la UKAWA... wamesimamisha wagombea wawili wawili, na wagombea kukaidi MAKUBALIANO YA UKAWA...!!

Mfano Kigamboni...Lucy, CDM alipendekezwa na UKAWA...Ila mgombea wa CUF akakomaa.. ana Mgombea wa CCM, ameshinda kwa kura kidogo tu, so mgombea wa CUF angetii AMRI ya UKAWA.. LUCY angeshinda..!!!

Hivyo hivyo... SEGEREA... MTATIRO WA CUF.. angeshinda, ndio kapendekezwa na UKAWA... ila DADA WA CDM kakataa kutoa ushirikiano..
na Mtatiro kashindwa kidogo sana na BONA wa CCM... ungeunganisha kura zao za UKAWA...MTATIRO angekuwa mbunge wa Segerea...!!! Nasikia mgombea wa CDM anatropia alitumika na CCM... kugawa kura..!!

Vile vile, mgombea wa ILALA... Hassanali CDM, angeshinda....ila Mgombea wa CUF alikaidi AMRI YA UKAWA..hivyo Zungu, CCM kashinda kwa kura chache sana sanaaaa...!!!

Na kwingineko nchini... UKAWA wanatakiwa watoe ADHABU kwa wale WAGOMBEA AMBAO WAMEKAIDI na kusababisha kukosa USHINDI...!!!

UKAWA ni ya KUIMARISHA ZAIDI...!!!
Hasanali amshinde Zungu? Ndoto! Hata wangeungana, jamaa anakubalika ilala.
 
Pamoja na tume kutangaza matokeo yanayo onesha kuwa magufuli anaongoza kwa takribani 52% huku lowasa akimfuatia kwa asilimia 40%, lakini sisi tunaona kabisa Gape hilo ni dogo mno na muda na saa yeyote ile matokeo yanaweza kubadilika

binafsi ninauhakika maana maka sasa ni majimbo 80 tu yaliyo tangazwa na hivyo nawaomba watanzania wenzangu na wana UKAWA kwa ujumla tuvute Subira wala tusiwe na Jazba Ushindi upo, Kama ilivyo kuwa ngumu kukubali kwa kutangazwa Halima Mdee basi bila shaka tunaamini Mungu yuko nasi na Lowasa atatangazwa kwa ugumu hivyo hivyo.

Cha msingi tuconcentrate kwa majembe yetu kama wakina Kafulila aweze kuatiwa haki yake ya ushindi, kwasababu ameongoza na hawataki kukubali kushindwa. na wengine walioko kutoka kona tofauti za Tanzania.

tunaamini nguvu ya wengi ni Nguvu ya Mungu, na hivyo sisi tuko wengi na Mungu yuko nasi, anaye taka kuipinga nguvu ya Mungu ni shetani na hakika tutamshinda.

peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeees
 
Yaani kwa ujumla inauma mno kwa wapenda mabadiliko kwa namna majimbo kama hayo ya Ilala, Segerea, Kigamboni na lile jimbo la Nyamagana la jijini Mwanza, ambapo majimbo yote hayo yalikiuka makubaliano ya Ukawa ambapo waliweka wagombea wawili kwa kila jimbo wa vyama vya Chadema na CUF.

Kwa hesabu zilizotolewa na NEC kuhusu ushindi wa wagombea hao wa CCM, ambao wote wamepata ushindi wa kiduchu, ni dhahiri kwa sasa Ukawa wangekuwa na plus 4 ya idadi waliyo nayo ya idadi ya wabunge.

Yote hiyo inatokana na hao wagombea kuweka mbele personal interest badala ya kuweka mbele maslahi ya kutaka mabadilko nchini.

Vivyo hivyo hao wagombea waliogomea makubaliano hayo ni wasaliti wakubwa wa Umma wa watanzania waliojitokeza kwa wingi mno siku ya kupiga kura kwa ajili ya kutaka mabadiliko.


Inauma sana...MAJIMBO MENGI.. UKAWA wangesimamisha MGOMBEA MMOJA, wanheshinda mapema asubuhi...

But wagombea wa UKAWA.. pamoja na kupewa AMRI kuwa wamuunge mkono ALIYEPENDEKEZWA NA UKAWA.. ila bado wagombea wakaweka personal interest mbele... wakaangusha UMMA...!!!

Inauma sana... UKAWA sasa wawachukulie hatua waliokaidi... na kuimarisha UKAWA mara dufu...!!!

UKAWA una nguvu sana sanaaa...!!
 
Hasanali amshinde Zungu? Ndoto! Hata wangeungana, jamaa anakubalika ilala.


Wee kweli umelala...!!!

ZUNGU... 35,000

Hassanali .. 32,000 huoni huo ukaribu....!!!

Sbb tu Mgombea wa CUF hakutii makubaliano ya UKAWA...!!! Umeelewa..?
 
Yap Bado wamebana, ila tumeshauri asije akakubari kuhesabiwa Tena karatasi isipokuwa zijumulishwe kura za kwenye vituo zilizo hesabiwa na kusainiwa na mawakala kutoka vyama vyote
 
Hasanali amshinde Zungu? Ndoto! Hata wangeungana, jamaa anakubalika ilala.
Wewe umejumlisha kura za Hasanali wa Chadema na za huyo wa CUF na kulingsnisha na kura za huyo Zungu wako?

Kwa taarifa zilizotolewa na NEC huyo Zungu alipata kura kama 35,000 hivi na huyo Hasanali amepata kura kama 32,000 hivi.

Sasa ukijumlisha kura hizo 32,000 na hizo za huyo mgombea wa CUF ambazo zilikuwa kama 20,000 hivi ni dhahiri kuwa jimbo hilo la Ilala huyo mgombea mwenye ubinafsi 'ameligawa' kwa CCM.
 
Zanzibar tushamaliza kazi... Bado Bara tu!..
CCM hawato amini kitachotokea hasa kuanzia Jumatano Jioni.!
 
Zenji kwa wajanja aisee, ngoja nikajichanganye huko. nasubiria wamalizie malizie mambo flani hivi...

Hata hivyo mi bado kukubali kushindwa (infact mi sijashindwa)

Aisee ukienda nami nitafutie dili huko....nataka nihame Bariadi......
 
Sanaaa...sanaaa... sbb angeshinda Segerea kwa kishindo...!!! ILA huyo dada Anatropia wa CDM shetani kweli..!!!Lucy CDM pia, Kigamboni kashindwa kidogo sana sanaa... kama kura 4,000 kashindwa na Faustine, wakati wa mgombea CUF ambaye hakutakiwa kugombea, KAMKOSESHA USHINDI LUCY.. mgombea wa CUF angekubali kumuunga mkono Lucy... Kigamboni ingeenda UKAWA...!!!ILALA, Zungu CCM, kashinda kwa kura chache sana, kama kura 1800 tu, sbb mgombea wa CUF hakumwachia HASSANALI, wa CDM aliyependekezwa na UKAWA...!!"UKAWA wangechukua majimbo yote hayo... kwa uhakika...!!
laanatulahi kila anapoingia na kutoka
 
Sasa ni wakati wa kurelax mpira dakika 90 but now tupo 34 dk so far tutashinda
 
Back
Top Bottom