Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Profesor kashinda
Mdee kashinda
Lembeli chalii
Wenje chalii
Rozi 1 kashinda
Mnyika sijaskia hadi sasa hivi.
Ila love more than100 ndo kauzi gani haka
 
Last edited by a moderator:
Profesor kashinda
Mdee kashinda
Lembeli chalii
Wenje chalii
Rozi 1 kashinda
Mnyika sijaskia hadi sasa hivi.
Ila love more than100 ndo kauzi gani haka

Professor ni yupi sasa?

Muhongo?
Maghembe?
Tibaijuka?
Jay ?
Maji marefu ?
 
Last edited by a moderator:
Jaman naskia kiwira kimenuka huko raia hawamtaki mbunge aliyepitishwa saul,mwenye taarifa zaidi atujuze,niko uyole hapa naona wanajeshi na polisi wakielekea huko kwa wingi!!
 
Mbele ya changa moto za wabunge machachali kama Tundu Lissu. Said Kubenea,Halima Mdee,na pia John Mnyika wabunge hao juu wawe wanaenda bungeni na magodoro kulala maana kwa umri wao hawawezi bunge gumu la kwisha saa 6 usiku

Pia huyo Magufuli ajitahidi kuteuwa mwana sharia mahili huyu Masaju hana uwezo

Nape naye na domo lake chafu ajitayarishe kubanwa na kanuni na mwangozo wa spika

Ngugai nae na mahasila yake bunge lijalo atafukuza sana wabunge wa upinzani, hafai nafasi hiyo

Kwa kuwa Mhongo amerudi basi Simbachawene atafutiwe nafasi ingine kweli nishati na madini kwa hakika haiwezi
 
Nimeona huu uzi but umefutwa ghafla ImageUploadedByJamiiForums1445951733.090289.jpg
 
Mbele ya changa moto za wabunge machachali kama Tundu Lissu. Said Kubenea,Halima Mdee,na pia John Mnyika wabunge hao juu wawe wanaenda bungeni na magodoro kulala maana kwa umri wao hawawezi bunge gumu la kwisha saa 6 usiku

Pia huyo Magufuli ajitahidi kuteuwa mwana sharia mahili huyu Masaju hana uwezo

Nape naye na domo lake chafu ajitayarishe kubanwa na kanuni na mwangozo wa spika

Ngugai nae na mahasila yake bunge lijalo atafukuza sana wabunge wa upinzani, hafai nafasi hiyo

Kwa kuwa Mhongo amerudi basi Simbachawene atafutiwe nafasi ingine kweli nishati na madini kwa hakika haiwezi
Chegeni ni mdogo ki-umri kuliko mbowe. Chegeni amesoma vizuri sana ukimlinganisha na mbowe pamoja hao wabunge wa chadema uliowataja. Bila shaka mtakuwa mmeshaandaa godoro kwa mwenyekiti mbowe.
 
UKAWA.... UKAWA... UKAWA..!!

MAJIMBO 3 ya Dar, Ilala, Segerea, na Kigamboni ambazo zimeenda CCM, ni kosa la UKAWA... wamesimamisha wagombea wawili wawili, na wagombea kukaidi MAKUBALIANO YA UKAWA...!!

Mfano Kigamboni...Lucy, CDM alipendekezwa na UKAWA...Ila mgombea wa CUF akakomaa.. ana Mgombea wa CCM, ameshinda kwa kura kidogo tu, so mgombea wa CUF angetii AMRI ya UKAWA.. LUCY angeshinda..!!!

Hivyo hivyo... SEGEREA... MTATIRO WA CUF.. angeshinda, ndio kapendekezwa na UKAWA... ila DADA WA CDM kakataa kutoa ushirikiano..
na Mtatiro kashindwa kidogo sana na BONA wa CCM... ungeunganisha kura zao za UKAWA...MTATIRO angekuwa mbunge wa Segerea...!!! Nasikia mgombea wa CDM anatropia alitumika na CCM... kugawa kura..!!

Vile vile, mgombea wa ILALA... Hassanali CDM, angeshinda....ila Mgombea wa CUF alikaidi AMRI YA UKAWA..hivyo Zungu, CCM kashinda kwa kura chache sana sanaaaa...!!!

Na kwingineko nchini... UKAWA wanatakiwa watoe ADHABU kwa wale WAGOMBEA AMBAO WAMEKAIDI na kusababisha kukosa USHINDI...!!!

UKAWA ni ya KUIMARISHA ZAIDI...!!!
 
Hasa la Mtatiro limeniuma sana



Sanaaa...sanaaa... sbb angeshinda Segerea kwa kishindo...!!! ILA huyo dada Anatropia wa CDM shetani kweli..!!!

Lucy CDM pia, Kigamboni kashindwa kidogo sana sanaa... kama kura 4,000 kashindwa na Faustine, wakati wa mgombea CUF ambaye hakutakiwa kugombea, KAMKOSESHA USHINDI LUCY.. mgombea wa CUF angekubali kumuunga mkono Lucy... Kigamboni ingeenda UKAWA...!!!

ILALA, Zungu CCM, kashinda kwa kura chache sana, kama kura 1800 tu, sbb mgombea wa CUF hakumwachia HASSANALI, wa CDM aliyependekezwa na UKAWA...!!"

UKAWA wangechukua majimbo yote hayo... kwa uhakika...!!
 
Five years of ............
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom