Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Vijana kama kina vicent nyerere na wenje nimewaonea huruma sana
Wenje kuna kila dalili kuwa kachakachuliwa, Vicent Nyerere, Kiwia wananchi wamegoma. Waonee huruma Mawaziri Wasira, Dk. Kebwe S. Kebwe, Anne Kilango, Cyril Chami, Aggrey Mwanri, Godfrey Zambi...
 
Jf habari...!!

Hii SIRI wabunge wengi wa UKAWA hawakushtukia...!!!

UKIRUDIA KUHESABU KURA kupitia mabox, yale mabox unakuta yameshachakachuliwa... sbb yanakuwa chini ya Mkuu wa Mkoa, au Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri...!! So, wanachakachua za UBUNGE pale pale, Ukirudia kuhesabu kupitia mabox, UNASHINDWA HARAKA SANA...!!! NDICHO kilichowakuta WENJE na KIWIA...!!! Pia LUCY wa KIGAMBONI...!!!

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

So, njia pekee ya KURUDIA KUHESABU KURA NI KUPITIA FOMU ZA MAWAKALA TU...!!! Fomu za NEC, zilizo na matokeo kutoka kila KITUO, zina KURA HALALI NA SAINI ZA MAWAKALA WOTE...!!! So ndio njia pekee na sahihi, KUHESABU KURA KWA MARA YA PILI IKIWA MNATAKA KURUDIA.. NI KUTUMIA FOMU TU...!!! sbb FOMU HAIWEZEKANI KUCHAKACHUA...!!!

👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆

Nimeahangaa sana wabunge wengi hadi Nyerere KUKUBALI KURUDIA KUHESABU kura kupitia MABOX KWA
kwa mara ya pili... yale MABOX yako chini ya CCM baada ya kuhesabiwa... so wanachakachua...ukikubali tu KURUDIA KUHESABU KURA KUPITIA MABOX, UKAWA wanaanguka...!!!

Poleni, Wenje, Kiwia, Nyerere, Lucy wa Kigamboni etc...!!!!

Lazima mtumie fomu zenu za matokeo tu kurudia kuhesabu KURA... si vinginevyo...!!!

Ukawa, ni mpango wa Mungu...!!!
 
Pamoja na ukweli kuwa kuna majimbo CCM imeyapoteza, lakini kuna mengine yamekombolewa. Mpaka sasa majimbo yafuatayo ambayo yalikuwa chini ya Upinzani sasa yapo chini ya CCM. Nini tunajifunza katika hili?
1, MUSOMA MJINI
2.ILEMELA
3. NYAMAGANA
4. BUKOMBE
5. KIGOMA KASKAZINI
6.KASULU MJINI
7.KASULU VIJIJINI
8. KIGOMA KUSINI (not confimed)
9.LINDI MJINI
10.MPANDA MJINI
11. MBULU
12. MASWA
13. BARIADI MASHARIKI
14. MUHAMBWE
15. MEATU
 
Pamoja na ukweli kuwa kuna majimbo CCM imeyapoteza, lakini kuna mengine yamekombolewa. Mpaka sasa majimbo yafuatayo ambayo yalikuwa chini ya Upinzani sasa yapo chini ya CCM. Nini tunajifunza katika hili?
1, MUSOMA MJINI
2.ILEMELA
3. NYAMAGANA
4. BUKOMBE
5. KIGOMA KASKAZINI
6.KASULU MJINI
7.KASULU VIJIJINI
8. KIGOMA KUSINI (not confimed)
9.LINDI MJINI
10.MPANDA MJINI
11. MBULU
12. MASWA
13. BARIADI MASHARIKI
14. MUHAMBWE
15. MEATU

Hivi kigoma kaskazini c ndiyo Zitto alikuwa anagombea au yeye yupo CCM siku hizi?
 
mambo ya ki facebook peleka huko nyumbani kwako hapa 2nataka 2bishane kwa hoja
 
Kila kwenye ushindani kuna mshindi na mshindwa. Una lingine?
 
Profesor j ameshinda jimbo la mikumi

safi sana wana morogoro mumedhihilisha kuwa munawaamini ukawa musiwe kama watu wa mwanza
 
Hakuna lolote ni hujuma tu za ccm kuhakikisha baadhi ya majimbo yanarudi kwao ata kama watakuwa wameshindwa!
 
Wana bodi kwa nini mnaanzisha uzi hauna kichwa wala miguu sasa unaliza nini tukujibu nini?
 
Back
Top Bottom