Kusoma mpaka chuo kikuu siyo kigezo cha kuwa mwadilifu (walisema lowasa hana maadili ni fisadi ila hao hao akina professor Baregu wanasema siyo fisadi)
Kuwa mchungaji siyo kigezo cha kuwa mwadilifu (wachungaji wengi mfano kakobe, gwajima, mwingira walilalamikia mno serikali ya ccm kusema ina ufisadi na ilikuwa huwezi kutaja ubadhirifu serikalini bila lowasa au sumaye, ila kipindi cha uchaguzi eti sumaye, lowasa, ni watu safi na walitenda mema wanahimiza tuwape nchi).
Uadilifu ni zawadi toka kwa Mungu