Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Nassari....huyu dogo ana sifaaa....ndo kufuru gani ile kwa mfano
 
Na wewe kumbe ni mjinga, hivi hujui kwamba John Momose Cheyo ni Msukuma, alipogombea urais 1995 mbona hakupata kura nyingi Kanda ya Ziwa? Hujui kwamba gharama ya fomu ya urais ya JK (ambaye ni Mkwere) ililipwa na wazee wa Mwanza mwaka 2005?

Angalia matokeo yanayotolewa huko Arusha na Moshi, wewe kipofu huoni 'ukanda' unaoendelea huko bali unatazama tu ukabila kanda ya Ziwa, shame on you Sir/Madam.
Nikuulize swala dogo, jimbo la arusha ni ngome ya nani tangu 2005?


Magufuli hakupigiwa kura kwa vile ni Msukuma bali:
(1) Utendaji wake unaonekana kwa kila mtu ndani na nje ya Tanzania.
(2) Ujio wa Lowassa UKAWA umewaudhi wananchi wengi wanaochukia ufisadi.

Endapo UKAWA mtashindwa, kichinjio chenu ni EL, atakuwa amewachinjia baharini. UKAWA hawakufanya thorough risk assessment ili kujiridhisha kama EL ni Asset au la!

Dogo naishi kanda ya ziwa ingawa mimi ni mtu wa songea. Wasukuma mwaka huu siyo wale wa miaka ya 2005. Uchaguzi wa mwaka huu umeshehena usukuma haswa.
 
Na wewe kumbe ni mjinga, hivi hujui kwamba John Momose Cheyo ni Msukuma, alipogombea urais 1995 mbona hakupata kura nyingi Kanda ya Ziwa? Hujui kwamba gharama ya fomu ya urais ya JK (ambaye ni Mkwere) ililipwa na wazee wa Mwanza mwaka 2005?

Angalia matokeo yanayotolewa huko Arusha na Moshi, wewe kipofu huoni 'ukanda' unaoendelea huko bali unatazama tu ukabila kanda ya Ziwa, shame on you Sir/Madam.

Magufuli hakupigiwa kura kwa vile ni Msukuma bali:
(1) Utendaji wake unaonekana kwa kila mtu ndani na nje ya Tanzania.
(2) Ujio wa Lowassa UKAWA umewaudhi wananchi wengi wanaochukia ufisadi.

Endapo UKAWA mtashindwa, kichinjio chenu ni EL, atakuwa amewachinjia baharini. UKAWA hawakufanya thorough risk assessment ili kujiridhisha kama EL ni Asset au la!
wasukuma wamebip wengine tutajibu,huo ukabila wenu tutawaonyesha
 
Mimi ni miongoni ya watu ya wachache waliowah kuzomewa sana kisa tu nimetinga uzi wangu wa njano wa kile chama chetu.Mtaani tulikosa raha, barabarani pia, Mungu saidia heshima yetu irudi mtaani maana tumenyanyasika sana,watesi wetu wakuu wakiwa wamachinga, bodaboda na mama ntilie.

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu ibariki Africa
Hakuna siku iliyoniuma kama siku ile mwanza vijana walionunuliwa na fisadi lowasa wakapangwa mtaani na kumsubiria rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Magufuli wakaanza kumzomea. We ngoja lazima watuheshimu tu
 
Naanza name
1. Joshua nassar CDM
2.Angelina mabula CCM
3.Ester bulaya CDM
4.Ester matiko CDM
5.Vedastus mathayo CCM
6.Ahmed katani CUF
7.Godwin mollel CDM
8.Sylvester koka CCM
9.Marwa chacha ryoba CDM
10.Ridhiwan kikwete CCM
11.Mwigulu nchemba CCM
12.Abdalah chikota CCM
13.Anthony mavunde CCM
14.Shukuru kawambwa CCM
15.Zit to kabwe ACT
16.Frank mwajoka CDM
17.Rashid abdalah CUF
18.Janet mbene CCM
19.Tundu lissu CDM
20.Juma kombo CUF
21.Freeman mbowe CDM

Endeleza list
22. Peter msigwa CDM iringa
23. Tandahimba limekwenda CUF
24. Njombe kulijibu CCM
25. Mnyika CDM
26. Gekul CDM
27. Mutungirehi CDM
28. Prof. J CDM
29. Makambako CCM
30. Wangingombe CCC
31. Lupembe CCM
 
Tatizo elimu nyie ndg zangu wasukuma bado sana! Mnaangalia ukabila daa! Shida sana dudendelea gete nahene!

hivi lowasa asingekua mkaskazini angepewa nafasi ya kugombea
urais cdm? ukabila ni kwa wengine tu kwenu aaaaaaah
 
Mimi ni miongoni ya watu ya wachache waliowah kuzomewa sana kisa tu nimetinga uzi wangu wa njano wa kile chama chetu.Mtaani tulikosa raha, barabarani pia, Mungu saidia heshima yetu irudi mtaani maana tumenyanyasika sana,watesi wetu wakuu wakiwa wamachinga, bodaboda na mama ntilie.

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu ibariki Africa
sasa vaa halafu uone kama kuna mtu hata moja atazomea. Wamesha pata adabu yao.
 
Miongoni mwa yale majimbo yaliyotangazwa, yapo majimbo ya Pemba ambayo Lowasa anaongoza kwa zaidi ya asili,ia 80. Pia kuna jimbo la Joshua Nassari ambalo CHADEMA wameongoza kwa kura nyingi. Kimuhemuhe cha nini?

Eti wao UKAWA wanataka kusikia wameongoza koooote! hivi hizi ni busara za wapi jamani wakati huu ulikuwa mchezo wa kushindana?
 
Hakuna siku iliyoniuma kama siku ile mwanza vijana walionunuliwa na fisadi lowasa wakapangwa mtaani na kumsubiria rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Magufuli wakaanza kumzomea. We ngoja lazima watuheshimu tu
Unaakili ndogo sana utakuwa msukuma unaleta ukabila hapa. Unadhani unachokipata toka ccm wao watakikosa kama tabu wote kama shida wote sasa kitawauma nini watu kama nyie ndo wazuia maendeleo
 
Mimi ni miongoni ya watu ya wachache waliowah kuzomewa sana kisa tu nimetinga uzi wangu wa njano wa kile chama chetu.Mtaani tulikosa raha, barabarani pia, Mungu saidia heshima yetu irudi mtaani maana tumenyanyasika sana,watesi wetu wakuu wakiwa wamachinga, bodaboda na mama ntilie.

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu ibariki Africa

Mimi nimewahi kuitwa mchawi kwa sababu ya imani yangu kwa chama cha mapinduzi
 
Kwakweli wasukuma walitangaza wampigia msukuma mwenzao..itabidi tuandae muhaya..ngoja tumuandae Dr Rwekaza mukandala..
 
Kamanda tunakuelewa na nina hakika UKAWA inaongoza maeneo mengi. Na ninatumaini bado UKAWA wanaendelea na tallying kwa stations zingine ambazo ni lazima usalama wake uwe imara sana. Mungu atatusaidia. Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu. Uongozi wa kulazimisha hauna baraka kabisa. Tuendelee kumuomba Mungu sana atusaidie na tutashinda tu. Tusikate tamaa kabisa.

Makamanda wesambaratika kama Russia
 
Ninaujasiri mkubwa kuwa aliyeshinda kihalali ndiye atakayekuwa rais wetu, Mungu hajalala tusife moyo
 
Back
Top Bottom