Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee wa nyeti za kuku kapigwa lembeli miguu chali
Hivi nani katuroga! !!!
Debe tupu ndio huwa linapiga makelele sana. Lakini siku ya kiyama lazima UKAWA wasaliti amri na kufunga virago warudi kuchunga Ng'ombe.Mimi ni miongoni ya watu ya wachache waliowah kuzomewa sana kisa tu nimetinga uzi wangu wa njano wa kile chama chetu.Mtaani tulikosa raha, barabarani pia, Mungu saidia heshima yetu irudi mtaani maana tumenyanyasika sana,watesi wetu wakuu wakiwa wamachinga, bodaboda na mama ntilie.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Africa
Hahaaaa... Kuna watu wana majina aisee, eti mzee wa "nyeti za kuku"!. JF raha sana!.😀
Mimi ni miongoni ya watu ya wachache waliowah kuzomewa sana kisa tu nimetinga uzi wangu wa njano wa kile chama chetu.Mtaani tulikosa raha, barabarani pia, Mungu saidia heshima yetu irudi mtaani maana tumenyanyasika sana,watesi wetu wakuu wakiwa wamachinga, bodaboda na mama ntilie.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Africa
Mimi ni miongoni ya watu ya wachache waliowah kuzomewa sana kisa tu nimetinga uzi wangu wa njano wa kile chama chetu.Mtaani tulikosa raha, barabarani pia, Mungu saidia heshima yetu irudi mtaani maana tumenyanyasika sana,watesi wetu wakuu wakiwa wamachinga, bodaboda na mama ntilie.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Africa
Kumbe Tupo Wengi? Hunizidi Mimi Mkuu Yaani Ngoja Alhamisi Dr. Magufuli Atangazwe Rasmi TUTAHESHIMIANA Tu Humu.
Mimi ni miongoni ya watu ya wachache waliowah kuzomewa sana kisa tu nimetinga uzi wangu wa njano wa kile chama chetu.Mtaani tulikosa raha, barabarani pia, Mungu saidia heshima yetu irudi mtaani maana tumenyanyasika sana,watesi wetu wakuu wakiwa wamachinga, bodaboda na mama ntilie.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu ibariki Africa
Sasa ivi tumeanza kukimbiana sasa hata zile Post nyingi za mihemko sizioni tena yaani wapo kama Hawapo wamekuwa wapole ghafla jamani!!!! Ukiwa una anza kutanda ndani ya Ukawa
Unarukia kwa kujishaua, mwenzako kapanic baada ya kuona jinsi hali ilivyo ngumu, tuliwaambia ccm mmejisahau lakini hamkuamini sasa ndio mambo yanazidi kuwa hadharani. Ile mikataba ya kihuni mliyoingiza taifa ndio siri inakwenda kuwa hadharani. Mlichezea maoni ya wananchi kwa kujifanya nyie ndio mnajua kuliko wao sasa naona picha mnaipata.
Ukanda wa kusini??..unazungumzia Lindi na Mtwara, Ruvuma..ukanda wa kati Dodoma na (baadhi ya naeneo ya morogoro)!!??.. Ha ha ha hii ni mikoa isiyojielewa ..Dodoma ni makao makuu ya nchi ndipo bunge lilipo na makao makuu ya ccm tokea uhuru hadi leo dodoma mjini wanakunywa maji ya visima ( maji yenye rangi ya maziwa) ombaomba kibao kila kona ya mji....Lindi vitenge vinawaponza kila mwaka ...wengi wao hawajaenda shule hongo ya butu tano kura kwa mkoloni mweusi!!