Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Kesho ni siku ya kihistoria kwa siasa za upinzani Tanzania.

Muumba mbingu na ardhi ameitika vilio vya wanaodhalilishwa, kukejeliwa.

Historia mpya imeshaandikwa na kesho kwa uwezo wa mfalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake Firauni anaangamizwa. Mussa aliyeyelewa katika nyumba ya Firauni analeta anguko la Firauni.

Tuitikie Ameeen.
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaameeeeeeeen
 
Mdee haamini machoyake. Mpaka sasa wako shule ya Oysterbay anasisitiza kurudiwa kuhesabu matokeo mara ya 4 sasa. Kippi kampita kwa kura zaidi ya 658 dada haamini kuwa harudi mjengoni. Nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuingia ACT

Ningekuwa karibu na wewe ungejuta,huu sasa ni ujuha.
Kipi ana 'kipi' cha kumshinda Iron Lady Halima Mdee?
Hila zote zitashindwa, magamba mnataka kuingiza nchi vitani kwa uroho wenu wa madaraka.
 
Ningekuwa karibu na wewe ungejuta,huu sasa ni ujuha.
Kipi ana 'kipi' cha kumshinda Iron Lady Halima Mdee?
Hila zote zitashindwa, magamba mnataka kuingiza nchi vitani kwa uroho wenu wa madaraka.

Unaweza vita wewe?
 
Bado majimbo ya Mkoa wa Mara.
Tarime mjini CDM
Tarime vijijini CDM
Serengeti CDM
Rorya CDM (Ila bado kutangazwa rasmi) Tusubiriane.
 
Ben Saanane ebu tuwekee hayo majimbo 165 ambayo Chadema imepata, Propaganda zilizochoka kama hizi zinakudharirisha.
 
Hebu fikiria mwanamume tena wanasema msomi na baba yake ni mzae aliyekuwa akinadi uadilifu. Bila hata haya unaamua kwenda bungeni kwa kumuibia kura tena dada mdogo!
Hii nchi ndio maana inapata laana!

Watapata kansa ya damu
 
Mdee sasa mda wake wa kuolewa na kukuna nazi ndani umewadia.Mjengoni hakumuusu tena.Ole wao wale wote wanaogeuza ubunge kama ajira zao za kudumu.Sasa mkatafute kazi nyingine.
 
Kesho ni siku ya kihistoria kwa siasa za upinzani Tanzania.

Muumba mbingu na ardhi ameitika vilio vya wanaodhalilishwa, kukejeliwa.

Historia mpya imeshaandikwa na kesho kwa uwezo wa mfalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake Firauni anaangamizwa. Mussa aliyeyelewa katika nyumba ya Firauni analeta anguko la Firauni.

Tuitikie Ameeen.


Eimeeeeeeeeeeeeeen.....!!

Watulie lushinge iwadidige kizuri!
 
Hadi sasa hivi majimbo ya Tanganyika yaliyotangazwa rasmi ukawa Ina majimbo 27
 
1. Moshi Mjini -CDM
2. Moshi vijijini-CDM
3. Rombo-CDM
4. Same Mashariki- CDM
5. Hai -CDM
6. Siha- CDM
7. Vunjo -NCCR
8. Arumeri Mashariki-CDM
9. Monduli-CDM
10. Simanjiro- CDM
11.Karatu -CDM
12. Kawe-CDM
13. Ubungo- CDM
14. Kibamba- CDM
15. Mbeya Mjini- CDM
16. Iringa Mjini - CDM
17. Bunda-CDM
18. Tarime Mjini- CDM
19.Tarime Vijijini- CDM
20. Rorya -CDM
21. Serentei- CDM
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50


Ongeza kwenye List

Jimbo na Chama chake kilichoshinda

Babati. Cdm Pauline gekul
 
Bila katiba mpya itakayoiweka tume ya uchaguzi huru,tutaendelea kuburuzwa ivi ivi milele.shawa mablood suckers sisiem hawawezi kuiachia hii nchi kizembezembe
 
Back
Top Bottom