Ccm imepoteza au imepata zaidi majimbo???
Ndio uwashangae wanaodhani ukawa imeshindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm imepoteza au imepata zaidi majimbo???
Huo ni mjadala mwingine. Kwa sasa kinachoangaliwa ni ushindi. Kumbuka kuwa hata hayo majimbo mengine mmeyapata kwa sababu ya mwana ccmCcm imepoteza au imepata zaidi majimbo???
Agenda yenu ilikuwa kuleta mabadiliko. Je mmeyapata?Ndio uwashangae wanaodhani ukawa imeshindwa
AaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaameeeeeeeenKesho ni siku ya kihistoria kwa siasa za upinzani Tanzania.
Muumba mbingu na ardhi ameitika vilio vya wanaodhalilishwa, kukejeliwa.
Historia mpya imeshaandikwa na kesho kwa uwezo wa mfalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake Firauni anaangamizwa. Mussa aliyeyelewa katika nyumba ya Firauni analeta anguko la Firauni.
Tuitikie Ameeen.
Mdee haamini machoyake. Mpaka sasa wako shule ya Oysterbay anasisitiza kurudiwa kuhesabu matokeo mara ya 4 sasa. Kippi kampita kwa kura zaidi ya 658 dada haamini kuwa harudi mjengoni. Nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuingia ACT
Acha kujidanganya wewe Kippi kaangukia pua alikuwa anafikiri jina la baba yake litamsaidia.
Ningekuwa karibu na wewe ungejuta,huu sasa ni ujuha.
Kipi ana 'kipi' cha kumshinda Iron Lady Halima Mdee?
Hila zote zitashindwa, magamba mnataka kuingiza nchi vitani kwa uroho wenu wa madaraka.
Unaweza vita wewe?
Hebu fikiria mwanamume tena wanasema msomi na baba yake ni mzae aliyekuwa akinadi uadilifu. Bila hata haya unaamua kwenda bungeni kwa kumuibia kura tena dada mdogo!
Hii nchi ndio maana inapata laana!
Kesho ni siku ya kihistoria kwa siasa za upinzani Tanzania.
Muumba mbingu na ardhi ameitika vilio vya wanaodhalilishwa, kukejeliwa.
Historia mpya imeshaandikwa na kesho kwa uwezo wa mfalme wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake Firauni anaangamizwa. Mussa aliyeyelewa katika nyumba ya Firauni analeta anguko la Firauni.
Tuitikie Ameeen.
kashindaSasa mdee kashindaaa au kashindwa?
1. Moshi Mjini -CDM
2. Moshi vijijini-CDM
3. Rombo-CDM
4. Same Mashariki- CDM
5. Hai -CDM
6. Siha- CDM
7. Vunjo -NCCR
8. Arumeri Mashariki-CDM
9. Monduli-CDM
10. Simanjiro- CDM
11.Karatu -CDM
12. Kawe-CDM
13. Ubungo- CDM
14. Kibamba- CDM
15. Mbeya Mjini- CDM
16. Iringa Mjini - CDM
17. Bunda-CDM
18. Tarime Mjini- CDM
19.Tarime Vijijini- CDM
20. Rorya -CDM
21. Serentei- CDM
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
Ongeza kwenye List
Jimbo na Chama chake kilichoshinda